Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,222
- 50,170
Inasemekana jamaa alikutana naWe si mchezo kupiga mbizi hafu unakuta vitu vilivyotakiwa kuelea kama korodani vikazama .
Sent using Jamii Forums mobile app

Hizi harusi wanatufanyia mbwembwe nyingi siku hizi nimeacha kuchangia huu ujinga.
Mwingine unakuta kaishi na mwanamke miaka 5 Wana watoto kabisa aafu anakuja kutuchangisha michango ya harusi.
Sent using Jamii Forums mobile app




aiseeMkuu ndoa haijafa ila wametengana tuu
Sheria ya ndoa inataka mpaka mmalize mda wa miaka miwili ndipo mpeleke petition ya kunullify marriage
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka jana mwezi wa 9 nilipokea text WhatsApp kutoka kwa ndugu yangu (mdada) ya mchango wa harusi.
Mzee mzima nikajichanga nikarusha 50,000/- Mpesa kupitia kwa msela Wangu yupo bongo japokuwa nipo nje ya nchi.
Harusi ilikuwa mwezi 12 siku 4 kabla ya Xmas.
Nikasema mambo si ndo Hayo nikarudi Tz kusalimia home na harusi juu.
Harusi bab kubwa tulikula tukanywa soda na gambe la kufa mtu, hadi kwa sisi wadau wa rubisi na karobo na senene zilikuwepo.
Bibi harusi na farasi alipanda honeymoon Mauritius.
Khe Leo napata habari ndoa imekufa.
Kwa kweli nimesikitika ila kimoyomoyo nasema bora nilirudi kula kuku Wangu niliochangia.
50 yangu haikwenda bure.
Updates:
Bwana harusi hakujua kama bi harusi ana mtoto wa miaka 5.
Dada kaniangusha.
Mi nilidhani anajua maana huyo mtoto kwenye harusi nilimuona.
Ishu kama hii ilimtokea dingi mkubwa miaka ya 80.
Alichoamua yeye niendelea na ndoa ila yule mtoto hakukanyaga kwa dingi mkubwa hadi alipofariki. (miaka kama 15 imepita hivi). Nilipokutana na huyu mtoto baada ya msiba (Alikuwa ni bro kwangu) sikuamini maana alikuwa Model na kwenye matangazo ya mabango mjini picha zake nilikuwa naziona ila sikuwa najua ni mtoto wa maza mkubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahaha



We mkaliHahahahahahahaha
hahahaahahahahahah
Aiseee mimi manzi siwezi sex nae nisijuee huyu kazaa .
Kuna manzi mmoja nilikuwa naee ila nilimpata baada ya yeye kuwa na matatizo mwaka 2013.
Sasa alikuwa ni mkali yani hataki mazoea. Ila kutokana na shida ikabidi awe mpolee nikala. Nikakaa siku mbili nika mwambia kuwa una mtoto. Demu aligomaa ila akaja akakubaliii mwishoniii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeee hiloo sasa ni limbwataaa.We mkali
Kuna chalii mmoja 2016 hekaheka za Geah Cloudsfm, aliambiwa ametoa bikra BINTI wa miaka 16 kumbe dada ana miaka 32 na ana watoto 4, kaja kustuliwa baadaya ndoa kufungwa
Sent using Jamii Forums mobile app