Angalia anafanya nini uwanjani au nitajie kiungo wa kumfunika Boban ndipo tutatongea biashara ya Mbuyu...Vp tena mtani? Hao ndo wachezaji wenu mnao wasajili kwa bei mbaaaaaaaaaaaya fikeni dau tuwaachia Mbuyu
Vipi mshiko anaopata unamfikia...?du ina maana hata kiroba cha kawaida hawezi nunua....simba bwana
angalia rank yangu JF halafu angali ya kwako..then ndo unilinganishe na huyo mvuta bange...Vipi mshiko anaopata unamfikia...?
Vipi Athuman Idd Chuji...mbona ni zaidi ya Boban mbona mnamchezesha...................Hicho anacho kifanyia remix ndicho kinacho mfanya aonekane bora kwenu msimbazi lakini akija Jangwani huyu hapati namba
Jibu swali acha porojo, pesa uliyo toa ni ishara kwamba unapesa sana....!?angalia rank yangu JF halafu angali ya kwako..then ndo unilinganishe na huyo mvuta bange...
sasa kama unashindwa kuchangia JF hata shilingi elfu kumi...na unashinda humo mi nina la kubishana na wewe? utashi wako kwenye hilo ndio unanifanya nikuone kama si maskini wa akili basi ni wa roho na maliJibu swali acha porojo, pesa uliyo toa ni ishara kwamba unapesa sana....!?