Haruna Moshi 'Boban' akifanya remix

TIQO

JF-Expert Member
Jan 8, 2011
13,787
2,078
[h=6][/h]

Kiungo mshambualiji wa timu ya Simba Haruna Moshi Boban akifanya remix ya maji+kiloba+valuu+glucose awali alianza na kitu cha Malawi aka sigara kubwa kisha huyooo uwanjani.
 


Kiungo mshambualiji wa timu ya Simba Haruna Moshi Boban akifanya remix ya maji+kiloba+valuu+glucose awali alianza na kitu cha Malawi aka sigara kubwa kisha huyooo uwanjani.

Inabidi mswada wa kuruhusu hii kitu uende bungeni.Mbunge wa Tabora atapambana sheria itaruhusu tu .
 
Angalia anafanya nini uwanjani au nitajie kiungo wa kumfunika Boban ndipo tutatongea biashara ya Mbuyu...

Hicho anacho kifanyia remix ndicho kinacho mfanya aonekane bora kwenu msimbazi lakini akija Jangwani huyu hapati namba
 


Kwa style hii ndio maana alikimbia ulaya......Kiungo mshambualiji wa timu ya Simba Haruna Moshi Boban akifanya remix ya maji+kiloba+valuu+glucose awali alianza na kitu cha Malawi aka sigara kubwa kisha huyooo uwanjani.[/QUOTE]
 


Kiungo mshambualiji wa timu ya Simba Haruna Moshi Boban akifanya remix ya maji+kiloba+valuu+glucose awali alianza na kitu cha Malawi aka sigara kubwa kisha huyooo uwanjani.
ha ha ha ha ha I like this Guy bwana.......ndo wachezaji wetu.
 


Kiungo mshambualiji wa timu ya Simba Haruna Moshi Boban akifanya remix ya maji+kiloba+valuu+glucose awali alianza na kitu cha Malawi aka sigara kubwa kisha huyooo uwanjani.

Guys don't you know that? "That is the spirit of the Nation".
 
Jibu swali acha porojo, pesa uliyo toa ni ishara kwamba unapesa sana....!?
sasa kama unashindwa kuchangia JF hata shilingi elfu kumi...na unashinda humo mi nina la kubishana na wewe? utashi wako kwenye hilo ndio unanifanya nikuone kama si maskini wa akili basi ni wa roho na mali
 
Back
Top Bottom