Harufu ya Rushwa CCM Mkutano Mkuu

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
Chama cha Mapinduzi kimetangaza Tarehe 7 na 8 Disemba ni Mkutano Mkuu wa Taifa wa ambao utakuwa na jukumu la kuwachagua viongozi wapya ngazi ya Taifa suala la rushwa limeonekana kuitia doa CCM.

Tayari malalamiko yameanza kutolewa kwa baadhi ya wagombea kudaiwa kutoa hadi milioni 5 kwa kila mjumbe ili wachaguliwe kwenye nafasi za uongozi zitakazopigiwa kura na Mkutano Mkuu.

Kama madai hayo ni ya kweli nini hatma ya CCM kupata viongozi wazuri watakoweza kuisimamia Serikali ili itekeleze majukumu yake kwa wananchi.

CCM ikiyumba, nchi yetu itayumba!
 
Chama cha Mapinduzi kimetangaza Tarehe 7 na 8 Disemba ni Mkutano Mkuu wa Taifa wa ambao utakuwa na jukumu la kuwachagua viongozi wapya ngazi ya Taifa suala la rushwa limeonekana kuitia doa CCM.

Tayari malalamiko yameanza kutolewa kwa baadhi ya wagombea kudaiwa kutoa hadi milioni 5 kwa kila mjumbe ili wachaguliwe kwenye nafasi za uongozi zitakazopigiwa kura na Mkutano Mkuu.

Kama madai hayo ni ya kweli nini hatma ya CCM kupata viongozi wazuri watakoweza kuisimamia Serikali ili itekeleze majukumu yake kwa wananchi.

CCM ikiyumba, nchi yetu itayumba!
Nchi kwanza
CCM siyo Tanzania
 
Wajumbe was mkutano mkuu wa CCM wapo zaidi ya 2000 na kama mtu amehonga million 5 kwa kila mjumbe maana yake kiwango kinachohitajika ni billion 10 ,uongo wako umekosa script
 
Kama na wewe ni mgombea tafuta million 5 utoe , vinginevyo sisi tunalia na umeme Hayo ya uchaguzi ni ya kwenu
 
Chama cha Mapinduzi kimetangaza Tarehe 7 na 8 Disemba ni Mkutano Mkuu wa Taifa wa ambao utakuwa na jukumu la kuwachagua viongozi wapya ngazi ya Taifa suala la rushwa limeonekana kuitia doa CCM.

Tayari malalamiko yameanza kutolewa kwa baadhi ya wagombea kudaiwa kutoa hadi milioni 5 kwa kila mjumbe ili wachaguliwe kwenye nafasi za uongozi zitakazopigiwa kura na Mkutano Mkuu.

Kama madai hayo ni ya kweli nini hatma ya CCM kupata viongozi wazuri watakoweza kuisimamia Serikali ili itekeleze majukumu yake kwa wananchi.

CCM ikiyumba, nchi yetu itayumba!
Viongozi gani wanachaguliwa upya?
We hujaalikwa Dodoma. Yanayotokea kule yanakuhusu nini?
 
Rushwa siyo tatizo kwa sisiemu. Tatizo lao kubwa nj namna ya kula rushwa bila kujulikana, na hilli ndiyo wanalifanyia kazi kwa sasa
 
Chama cha Mapinduzi kimetangaza Tarehe 7 na 8 Disemba ni Mkutano Mkuu wa Taifa wa ambao utakuwa na jukumu la kuwachagua viongozi wapya ngazi ya Taifa suala la rushwa limeonekana kuitia doa CCM.

Tayari malalamiko yameanza kutolewa kwa baadhi ya wagombea kudaiwa kutoa hadi milioni 5 kwa kila mjumbe ili wachaguliwe kwenye nafasi za uongozi zitakazopigiwa kura na Mkutano Mkuu.

Kama madai hayo ni ya kweli nini hatma ya CCM kupata viongozi wazuri watakoweza kuisimamia Serikali ili itekeleze majukumu yake kwa wananchi.

CCM ikiyumba, nchi yetu itayumba!
 
Kama na wewe ni mgombea tafuta million 5 utoe , vinginevyo sisi tunalia na umeme Hayo ya uchaguzi ni ya kwenu
 
Back
Top Bottom