Harmorapa Fans' Special Thread...

Huko kwao wasomi wa elimdunia ni Shida kidogo... Ingekua ile elim nyingine bila shaka angefanikiwa kuimudu
 
Japo wawili hao wanatokea upande wa Kusini mwa Tanzania, lakini wameonekana kutopikika katika chungu kimoja. Akiongea katika kipindi cha Joto La Asubuhi leo, Harmorapa ambaye ni hitmaker wa ngoma ya ‘Kiboka ya Mabishoo’ amesema hakuna kolabo yoyote itakuja kutokea kati yake na Harmonize.

“Swala la kufanya kazi na Harmonize hilo halipo.Kila mtu unajua anakuwa na ‘appetite’ na mtu fulani wa kufanya naye kazi,” amesema rapper huyo.

Harmorapa ameongeza kukosea kwake katika lugha ya kingereza, anachukulia kawaida tofauti na watu wanaochukulia jambo la yeye kujiita ‘Strong Woman’ kiukubwa na zaidi kwa kumkejeli.

page-10.jpg
 
Huyu nae sifa zimemlewesha,kila siku maneno tuuu kwani hawezi kufanya kazi kimya. Anatuchosha
 
Mwambieni jinsi ya kutumia lugha ya Malkia huyo "Strong Woman" sijui women atajua yeye akiona hawezi atumie kimakonde ataelewa zaidi mwishowe atatuambia huyo Harmonise hayuko delicious aisee kama hana appetite what next atasema hayuko delicious
 
Nimesikia Harmorapa nae yuko mbioni kuzindua perfume yake. Watanzania kaeni mkao wa kusubiri
 
Japo wawili hao wanatokea upande wa Kusini
mwa Tanzania, lakini wameonekana kutopikika
katika chungu kimoja. Akiongea katika kipindi
cha Joto La Asubuhi leo, Harmorapa ambaye ni
hitmaker wa ngoma ya ‘Kiboka ya Mabishoo’
amesema hakuna kolabo yoyote itakuja kutokea
kati yake na Harmonize.
“Swala la kufanya kazi na Harmonize hilo halipo.
Kila mtu unajua anakuwa na ‘appetite’ na mtu
fulani wa kufanya naye kazi,” amesema rapper
huyo.
Harmorapa ameongeza kukosea kwake katika
lugha ya kingereza, anachukulia kawaida tofauti
na watu wanaochukulia jambo la yeye kujiita
‘Strong Woman’ kiukubwa na zaidi kwa
kumkejeli.
View attachment 499125
itakuwa tulimskia vibaya alikuwa anasema "Strong Human"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom