PeterwaPerer
JF-Expert Member
- Sep 12, 2024
- 275
- 309
Nimekuwa mkubwa sasa na ninaweza kuyaona mambo kwa upande wa nyuma tofauti na wengi wanavyotazama
Matango pori ninayang'amua mapema kabla hayajaniteka kama baadhi ya Watanzania wa sasa walivyo.
Wanapenda kucheza midundo ambayo hata hawajui uelekeo wake ni upi, lakini unaweza kuwaelewa kwa sababu wamevimbiwa uhuru na amani iliyopo na ni hulka ya binadamu yoyote kila alichonacho binadamu hukidharau na kudhani asichonacho ni bora hata kama kina manundu
Anyway nirudi kwenye observation ninayotaka kuiwasilisha hapa kuwa Watanzania hasa wa kizazi hiki ni wanafiki kwa kiwango kikubwa kabisa
Tawala mbili hizi za karibuni zinathibitisha hilo kwa uwazi kabisa
Wakati wa JPM a.k.a Jiwe la pembeni asilimia kubwa ya Watanzania walinung'unikia na kulalamikia kuhusu KIKOSI KAZI na mambo mengine ambayo yalifanywa ili kuwafuatilia kila kitu kwa karibu.
Wakati huu hakuna kitu kama hicho ila Watanzania hao hao ambao wamepunguziwa jaka moyo hilo na mambo mengi ya kukarahisha na kukera kutoweshwa na bado wamekuwa walalamishi na wengine wanadiriki kabisa kudai bora utawala uliopita
Hitimisho langu ni kiwa Watanzania ni watu wasiopenda kuwajibika kwa maana ya kuwa Mtanzania akiwa muhusika wa jambo anapenda au anaona haki kuonewa huruma ila asiyehusika ndio anamshikia bango ili aangamizwe, na verse versa
Mh Makonda alisema ukiona Mtanzania anaongea ujue hajapewa tonge/jikoni na mifano hai ipo
Wasalam
Matango pori ninayang'amua mapema kabla hayajaniteka kama baadhi ya Watanzania wa sasa walivyo.
Wanapenda kucheza midundo ambayo hata hawajui uelekeo wake ni upi, lakini unaweza kuwaelewa kwa sababu wamevimbiwa uhuru na amani iliyopo na ni hulka ya binadamu yoyote kila alichonacho binadamu hukidharau na kudhani asichonacho ni bora hata kama kina manundu
Anyway nirudi kwenye observation ninayotaka kuiwasilisha hapa kuwa Watanzania hasa wa kizazi hiki ni wanafiki kwa kiwango kikubwa kabisa
Tawala mbili hizi za karibuni zinathibitisha hilo kwa uwazi kabisa
Wakati wa JPM a.k.a Jiwe la pembeni asilimia kubwa ya Watanzania walinung'unikia na kulalamikia kuhusu KIKOSI KAZI na mambo mengine ambayo yalifanywa ili kuwafuatilia kila kitu kwa karibu.
Wakati huu hakuna kitu kama hicho ila Watanzania hao hao ambao wamepunguziwa jaka moyo hilo na mambo mengi ya kukarahisha na kukera kutoweshwa na bado wamekuwa walalamishi na wengine wanadiriki kabisa kudai bora utawala uliopita
Hitimisho langu ni kiwa Watanzania ni watu wasiopenda kuwajibika kwa maana ya kuwa Mtanzania akiwa muhusika wa jambo anapenda au anaona haki kuonewa huruma ila asiyehusika ndio anamshikia bango ili aangamizwe, na verse versa
Mh Makonda alisema ukiona Mtanzania anaongea ujue hajapewa tonge/jikoni na mifano hai ipo
Wasalam