Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 21,273
- 45,973
Acheni wivu wa kijinga nyie watu mtu kipato ni chake ameamua kusema kiasi anachoingiza eti mtu anakuja kusema hakutakiwa kusema vile wewe ndo umempa hiyo pesa em acha mtu aishi naisha yake mnaumia bure kwa vitu visivyowahusu ndugu zangu. Kodi analipa na serikali inajua kwani hawajui kua anaingiza kiasi icho??
Wanajua sana na hii kesi ni ya rayvanny hapo hapo viumbe mnaipindisha hadi diamond nae awemo eti alimtuma vanny kisa alitaja pesa anayoingiza ati serikali yataka kumnyoosha daaah bongo kwa kuunga dots hatari sana 😂😂😂
Wanajua sana na hii kesi ni ya rayvanny hapo hapo viumbe mnaipindisha hadi diamond nae awemo eti alimtuma vanny kisa alitaja pesa anayoingiza ati serikali yataka kumnyoosha daaah bongo kwa kuunga dots hatari sana 😂😂😂