exalioth JF-Expert Member Jun 22, 2016 2,190 3,685 Aug 2, 2020 #1 Moja kwa moja naenda na mada tajwa hapo juu Mtajwa jina hapo juu kwama tutakua pamoja humu JF maombi yangu kama shabiki kindakindaki I beg you very much, utuimbie nyimbo za kiswahili tu hivi karibuni umekua tofauti sana unaimba nyimbo zenye lugha ya Kiingereza binafsi naona unatukosea Of the heart Exalioth
Moja kwa moja naenda na mada tajwa hapo juu Mtajwa jina hapo juu kwama tutakua pamoja humu JF maombi yangu kama shabiki kindakindaki I beg you very much, utuimbie nyimbo za kiswahili tu hivi karibuni umekua tofauti sana unaimba nyimbo zenye lugha ya Kiingereza binafsi naona unatukosea Of the heart Exalioth
Night shadow JF-Expert Member Jun 11, 2015 571 1,092 Aug 2, 2020 #2 Ni muimbaji mpya wa twanga pepeta au fm academia? Kitambo sipo mjini nijuze tafadhali.
Kiboko ya Jiwe JF-Expert Member Apr 7, 2020 12,702 36,141 Aug 2, 2020 #3 Mimi nadhani lengo lake ni kufanya muziki utakaofika mpaka ng'ambo
MR BINGO JF-Expert Member Feb 12, 2016 1,092 2,270 Aug 2, 2020 #4 Inaitwa kutanua wigo.... ww ambaye ni shabik yake tyar tulia hivyohivyo atafute mashabiki wengine
kalagabaho JF-Expert Member Nov 4, 2010 5,461 5,860 Aug 2, 2020 #6 Trust me..Wamakonde wanawazidi wasukuma kwa ulimbukeni
Mkaruka JF-Expert Member Feb 5, 2013 19,617 34,062 Aug 2, 2020 #7 Tangu Magufuli awe Rais kumekuwa na idadi kubwa ya watu kulalamika wakiona Kiingereza. Kwani kuna ulazima gani wa wewe kukomalia 'threads' au nyimbo zenye lugha usioifahamu
Tangu Magufuli awe Rais kumekuwa na idadi kubwa ya watu kulalamika wakiona Kiingereza. Kwani kuna ulazima gani wa wewe kukomalia 'threads' au nyimbo zenye lugha usioifahamu
Dong Jin JF-Expert Member Jun 4, 2018 754 1,442 Aug 2, 2020 #8 "Anapanua huduma" in Gwaji boy's voice
Nafaka JF-Expert Member Feb 17, 2015 12,156 31,045 Aug 2, 2020 #9 Uko sawa kabisa hata mimi naunga mkono hoja, maana naona kama anapotea. Sema bedroom niliielewa
Its Pancho JF-Expert Member Sep 21, 2018 14,238 22,642 Aug 2, 2020 #10 Kwahiyo sisi ndo mmakonde kamwambie huko Instagram
Joanah JF-Expert Member Aug 14, 2016 20,680 71,492 Aug 2, 2020 #12 cocastic said: I go die. Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app Click to expand... I go die ooooo
cocastic said: I go die. Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app Click to expand... I go die ooooo
Joanah JF-Expert Member Aug 14, 2016 20,680 71,492 Aug 2, 2020 #13 kalagabaho said: Trust me..Wamakonde wanawazidi wasukuma kwa ulimbukeni Click to expand... Ukabila bado ni tatizo kubwa sana
kalagabaho said: Trust me..Wamakonde wanawazidi wasukuma kwa ulimbukeni Click to expand... Ukabila bado ni tatizo kubwa sana
cocastic JF-Expert Member Nov 30, 2019 85,721 137,439 Aug 2, 2020 #14 Joanah said: I go die ooooo Click to expand... dea bhana lol
Khantwe JF-Expert Member Dec 20, 2012 59,410 119,112 Aug 2, 2020 #16 cocastic said: I go die. Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app Click to expand... I gonna die
cocastic said: I go die. Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app Click to expand... I gonna die
Y yuzazifu JF-Expert Member Oct 6, 2018 5,109 9,407 Aug 2, 2020 #17 Kuimba kidhungu si tatizo, shida kubwa harmo anakibaka kizungu.
cocastic JF-Expert Member Nov 30, 2019 85,721 137,439 Aug 2, 2020 #18 Khantwe said: I gonna die Click to expand... yaan lol wee acha tyuuh
H Hziyech22 JF-Expert Member Jun 8, 2019 13,577 18,904 Aug 2, 2020 #19 yuzazifu said: kuimba kidhungu si tatizo, shida kubwa harmo anakibaka kizungu. Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
yuzazifu said: kuimba kidhungu si tatizo, shida kubwa harmo anakibaka kizungu. Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kim Jong Jr JF-Expert Member Mar 15, 2014 10,908 20,120 Aug 2, 2020 #20 Ule wimbo wake wa singeli aliimba kiingereza?