Umesikiliza interview kwel au unasoma umbea wa instaDogo anaharibu sana kuwatukana Wasafi.
Nimesikia anasema alikuwa hayupo huru ndani ya Wasafi eti anafurahi kupata interview clouds alimis kuwa na amani.
Korosho ndiyo zinatupa kibuli acha tujitegemeee bhanaAfunge domo lake huyo dogo na aende zake kwa amani huko aendako na si kubwabwaja hovyo.
Hivi wamakonde huaga mnatatzo gani!maana wote mnafanana tabia
Nisome Tena.Diamond ni Business man,Mziki ni Biashara na Biashara haina undugu na sheria ni msumeno Mkataba aliusaini mwenyewe na ameuvunja mwenyewe unakuja hapa kumtukana Diamond kwa kosa lipi.
Sasa Stori Kwamba Kamsaidia Zinatoka Wapi ?Mkataba ndio unaongea sio Diamond.
au kontena?Behewa wewe!
Hapo kinachoangaliwa ni biashara sio mondi cos hakushikiwa kisu wakati anasign sikunyingine uache kuropoka.Nisome Tena.
Maana Ninyi Mashabiki Wa Domo Akili Sifuri
Mbona ni kweli tu hakuna tusi, Mimi huwa wananifurahisha wachaga tu atauza duka la mwenzake baada ya muda anafungua lake na atakayefanya kazi kwakwe siku atafungua la kwake wote wanapata sasa shida iko wapi? mtu kaamua kuacha kazi kujiajiri ndio ushujaa. Yakimshinda ataajiriwa tu ila mtu ana mtaji wa kufungua duka lake unataka aendelee kuuza tu duka la mwenzake. Diamond bado ni mwanamuziki bora anajuwa biashara na huyu bwana mdogo wacha atafute kivyake. Juzi kina Kitenge kuajiriwa tu umesikia watu hawa nao lini watajiajiri huyu kathubutu matusi. Mimi naunga mkono jiajiri acha kuajiriwa.Dogo anaharibu sana kuwatukana Wasafi.
Nimesikia anasema alikuwa hayupo huru ndani ya Wasafi eti anafurahi kupata interview clouds alimis kuwa na amani.
Wewe usimlishe maneno harmonize,wote tumeskliza interview.hajasema hvo,wewe mtaktfu gn muongo hvo??harmonize hana ttzo na upande ule..ACHA LOMONIDogo anaharibu sana kuwatukana Wasafi.
Nimesikia anasema alikuwa hayupo huru ndani ya Wasafi eti anafurahi kupata interview clouds alimis kuwa na amani.
Aise maisha yamekua rahisi kiasi hiki! .Asihofu acha awalipe maana domo ana wivu sana, anataka awe mfalme peke yake, kwanza mwakani anakuwa mbunge atapata na uwaziri wa michezo, akichanganya na kipaji chake atapata hizo nyumba mapema tu.
Mavoko Kawalipa Ngapi ?Mkataba aliousaini ndio umemaliza ubishi kwa akili zako ndogo ulifikiri Harmonize angeondoka WCB kihuni huni tu,Cheza na watu wote usicheze na hii crew ya WCB kwenye Business utaumia.
dogo una ki wivu flani katika maandishi yako una hakika gani sifa za raisi kwa konde ni za kinafikiUkimsikiliza vizuri dogo Harmonize tayari asha haribika kisaikolojia ( Kachanganyikiwa).
Eti kauli ya Raisi ni sheria, yaani Mie umenipa sifa nimefanya vizuri.. Kwanini na mie nisikupe Sifa hata Kinafiki.
Clouds wanazidi kumpoteza Huyu kijana, Hicho chakula ndio Kabisa.. Wanakula wanapotea.
Uzuri Korosho itasimamiwa vizuri.. Atajipatia Kipato huko
Ivi hapo hapo atakapogombea ubunge, na Dai naye akatangaza kupitia chama kingine, nani ataunyaka ubunge?!
Ataupata atakayegombea kupitia CCM. |