sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
Ni huyo huyo mwenye lubega mzee mwenzangu..Hivi hapo harmonize ndo yupi, alovaa lubega kama katoka jandoni?
Daaaaah umenichekeshamtu mmoja anaweza akawa anareply na aliemreply yaan unaweza ukakuta watu wawili tena mwingne ata asoiwe ameangalia wakasongesha comment tena unakuta wanachambana mengne hayahudiani hata na huwo wimbo
unakuta zikafika hata 50 kwa ID mbili tu
ni km jf wale wanaoanza kusalimiana na kuitana baby kwenye nyuzi za watu
so kawaida sana
star gani?Mbona naona ni kitu cha kawaida sana,,,,,
Hata insta mastaa wakipost unakuta hadi 12k likes ndani ya 45 mins au hadi 1 hour
Teacher mbishi sana daah
You tube huwa inatokea kuna wakati viewers zinaganda, hii inatokea pindi system ya yoytube inapo inspect viewers za maroboti. Alafu baada ya muda zinaachiwa ndio unakuta ghafla mtu kapata milioni, just zilikuwa counted but hazikudisplay kutokana na system inspection.
Yan ingekua ni rahis hivyo wanaigeria wangekua mbali sana mana wale wenzetu wako mbali kumziki na teknolojia tukaubali tu dogo anapambanaYou tube huwa inatokea kuna wakati viewers zinaganda, hii inatokea pindi system ya yoytube inapo inspect viewers za maroboti. Alafu baada ya muda zinaachiwa ndio unakuta ghafla mtu kapata milioni, just zilikuwa counted but hazikudisplay kutokana na system inspection.
Kama huyo ana 2m ndani ya 1 hourstar gani?