Kijana alitoka Wasafi kwa jeuri mno kwakuwa mke wake Sarah alikuwa na uwezo kifedha akasahau walipotoka na diamond ila hivi sasa ameanza kushuka kwakuwa ameachwa na mke wake ndio anajidai kujipendekeza! Nyimbo anazoimba hazieleweki,show za kimataifa hakuna,collaboration na wasanii wakubwa hakuna,tuzo hakuna ndio anakumbuka nyumbani.Nyambaaaaf