Harmonize ala shavu kutumbuiza nyumbani kwa Rais mstaafu Kikwete mwaka mpya msoga

Piece of written masturbation. Umekosa hoja unaishia kumwaga viroja! Narudia swali: Taja huko kwenu ambako mambo yao safi or else; keep your mouth shut!

Mkoani Gisenyi nchini Rwanda Mkuu. Njoo huku uone tofauti iliyopo ili ukienda Ukwereni ukawasaidie kuwabadilisha. Kama upo na Vasco Da Gama hapo karibu muulize anaionaje Rwanda ya sasa na anaikumbuka vipi nchi yetu ya Rwanda?
 
Jamaa yenu yupo kwao chato anaangalia 360.
Anawaza amteue nani.
Anawaza amkamate nani.
Anakomaa na Lema.
Anakomaa na JF
Anakomaa na Tanzagiza FB
 
Ningeona huyo Msanii anatumika kutumbuiza ili kupatikane Pesa za kuyabadilisha maisha ya Watu wa Chalinze ambao ni Masikini wa kutukuka hadi leo ili wapate maendeleo thabiti ningepongeza na kushukuru mno. Kuna siku nilipata bahati ya kupita eneo la huyo Mstaafu na nikatamani hata kulia kwani ukiacha tu hapo anapoishi lakini huko kwingineko mandhari ni mabaya na yanatia aibu na huwezi amini kuwa Mwanakijiji mwenzao aliwahi kuwa Kiongozi wa nchi hii na hata sasa Mwanawe ni Kiongozi wao lakini bado Watu wa Chalinze wanaishi maisha duni na ya Kimasikini sana.
Uongo ni dhambi kubwa na ni uchonganishi, hivi kweli unayajua wewe tu maeneo hayo ilhali ni barabarani tu,,,, jamani haya ndio maendeleo yetu sehemu kubwa watanzania wengi,,, kumbe we jamaa ni shida kichwani,,,,,, pole sana kwa chuki zako kwa family ya JK na Ridh,, ndio hivyo wapo juu yako tu hamna namna,,, we endelea kubwatuka tu humu.......
 
Danganya vi.laza wenzako! Mtu na akili yako uonee fahari Rwanda...!

Mkuu mbona unaona Wivu Mimi kuisifia nchi yangu nzuri na iliyobarikiwa ya Rwanda. au na Wewe unataka kuwa Mnyarwanda tukufanyie mchakato uhamie huku? Najua Vasco Da Gama sasa hana hamu na Rwanda na somo letu alilipata.
 
Uongo ni dhambi kubwa na ni uchonganishi, hivi kweli unayajua wewe tu maeneo hayo ilhali ni barabarani tu,,,, jamani haya ndio maendeleo yetu sehemu kubwa watanzania wengi,,, kumbe we jamaa ni shida kichwani,,,,,, pole sana kwa chuki zako kwa family ya JK na Ridh,, ndio hivyo wapo juu yako tu hamna namna,,, we endelea kubwatuka tu humu.......

Ili uamini maneno yangu naomba tutume ' drones ' zichukuwe picha ya eneo zima la Chalinze kwenu huko ili ukielewe hiki ninachokisema hapa. Kataa kubali Vasco Da Gama na Mwana ' Kidoti ' hakuna walichowafanyia Watu wa Chalinze na Bagamoyo nzima.
 
Mkuu unapoongelea maeneo ambayo vijana wameathirika na madawa ya kulevya chalinze huwezi kuacha kuitaja.....pale mamia ya vijana wameharibika haswaa hadi inatia wasiwasi.
Wapi na ni sehemu gani vijana wameharibika, mbona mnaandika msivyovijua nyie, mnapita barabarani tu mnaona mnaijua chalinze,,,, hafu chuki zenu hizo tutawaongezea 2020 ili mpasuke kwa pressure mtakapoona ndoto zenu ni impossible....
 
Leo nimejiapiza nisiwajibu Watu hovyo kwa kuwa nataka kufunga mwaka kwa ustadi uliotukuka ila naona kwa mbali kama vile unataka kubadilisha hiyo nia yangu niliyojipangia leo. Endelea tu kujaa katika ' Frame ' Mkuu ili nifunge mwaka 2016 vizuri na Wewe.
Anza basi tukupe vyako vya kufungia mwaka,,,,,
 
Mkuu mbona unaona Wivu Mimi kuisifia nchi yangu nzuri na iliyobarikiwa ya Rwanda. au na Wewe unataka kuwa Mnyarwanda tukufanyie mchakato uhamie huku? Najua Vasco Da Gama sasa hana hamu na Rwanda na somo letu alilipata.
Kiroja kingine hiki!!! Hiyo Rwanda ingekuwa nchi ya maana ungeendelea kupigwa joto la Dar es salaam! Watu mmehifadhiwa na kuokolewa na majanga ya kila aina halafu mnataka kuleta kujua!!! Hiyo Rwanda yenyewe ni maskini wa kutupwa!!! Btw, huyo PK wenu aliishia wapi na fyokofyoko zake hadi useme JK hana hamu na Rwanda? Sio yeye mwenyewe ndo alijileta hapa mwaka jana!!!
 
Naona wana Familia ya ' Mkwere ' sasa mmepewa gadgets ili mnijibu GENTAMYCINE huku JF. Kama upo hapo karibu na Vasco Da Gama hebu niulizie ile Visa yake iliyosababisha azuiwe JNIA ilishapatikana? Na vipi wale ' Jamaa ' wanne waliorudishwa pale Uwanjani tunao Uraiani au bado tumegawana nao Majengo ya Serikali?
Basi kamuulize kwanza mamvi ndio urudi tena,,, vipi atarudia tena kugombea 2020?
 
Mkoani Gisenyi nchini Rwanda Mkuu. Njoo huku uone tofauti iliyopo ili ukienda Ukwereni ukawasaidie kuwabadilisha. Kama upo na Vasco Da Gama hapo karibu muulize anaionaje Rwanda ya sasa na anaikumbuka vipi nchi yetu ya Rwanda?
Ok kumbe unakumbuka kichapo cha Goma! Kumbe sio kosa lako pia mshukuruni sana Mungu mngepokea nyingine za uso kama mngeendelea kumchokoza! Ila bado wa aina yake wamebaki wengi mno hayajaisha bado.......
 
Ulitaka ajenge International Airport kama ile ya Chato sio?! Btw, unaweza kututajia huko kwenu tukaona uzuri wake manake watu wa JF hodari sana a wkukandia kwa wenzenu wakati majority mnatoka kwenye lindi la umaskini tena wa kutisha na vijiji vya hovyo hovyo kuiko maelezo lakini mkiwa JF mnajifanya kiswahili kirefu wakati hamna lolote lile!!!

Eti ukatamani kulia... ni unafiki ulioje huu!!! Yaani unataka kujifanya umezoea maisha ya kitajiri tajiri sio kiasi kwamba kuiona Chalinze ikataka kukuliza?!


Wamesahau walivyokuwa wanasema Bandari ya Bagamoyo Chato ndio habari mpya? Bandari ya Bagamoyo siyo issue tena? Binadamu hana kumbukumbu za maneno yake.
 
Pita ivi mkimbizi weee
Huyu mkimbizi wa ajabu kweli, Gisenyi yenyewe wamejaza migomba, anadhani watu wageni kwao, hiyo drone anasema ije ipige picha chalinze anaiona AL jazeera, hivi iruke Rwanda eneo liko wapi au watairusha DRC,,,,,huyu mkimbizi kweli anahangaika ndio mana kaanza kutusi
 
Ningeona huyo Msanii anatumika kutumbuiza ili kupatikane Pesa za kuyabadilisha maisha ya Watu wa Chalinze ambao ni Masikini wa kutukuka hadi leo ili wapate maendeleo thabiti ningepongeza na kushukuru mno. Kuna siku nilipata bahati ya kupita eneo la huyo Mstaafu na nikatamani hata kulia kwani ukiacha tu hapo anapoishi lakini huko kwingineko mandhari ni mabaya na yanatia aibu na huwezi amini kuwa Mwanakijiji mwenzao aliwahi kuwa Kiongozi wa nchi hii na hata sasa Mwanawe ni Kiongozi wao lakini bado Watu wa Chalinze wanaishi maisha duni na ya Kimasikini sana.
hahhahhaaaaaaaaaaaaahhaahhah ndugu kila jambo na wakati wake wakati wa hilo ukifika basi litafanyika
 
Hongera sana kula bata baba as tunakukumbuka tumenyimwa mikopo eti wanasema tunanunulia tv
 
Back
Top Bottom