You are lost my friend, You need to learn the season. No more CCM 2015
yaani katika wote waliopo kwenye payroll ya nape..wewe angalau umejiunga 2011, wenzako wamejiunga june na july 2012..wewe ndo senior wao...posho yako lazima kubwa, kaza buti si unajua hata hospitals zimetengewa 5 billion na wastaafu wana 8 billion ...na nyie labda mtakumbukwa kwenye ufalme wa nape siku moja
Mbona mambo madogo sana hayo,
Slaa ana kesi ya kijinga tu ya kushindwa ku-manage wanawake..solution yake atangaze kwamba anakuwa muislam anaoa wote wa wawili kwa pamoja
hizo zingine blablah
Soma rai ya Jenerali Ulimwengu leo. Anasema CCM inasubiri kukata roho.
Soma rai ya Jenerali Ulimwengu leo. Anasema CCM inasubiri kukata roho.
Nasikitishwa sana na wanachadema wenzangu ambao wao fikra zozote tofauti huona ni kutoka upinzani!Sasa hapa umejibu nini?Kubali kuwa chama kina hardtime au kataa kwa hoja.Unashindwa nini?
Do you call all those "hard time?" Pole sana!!!!!
kwendaaaaaaa hukoooo...hard time ipi?
1.Katibu wake mkuu anakabiliwa na kesi aliyofunguliwa na Rose Kamili.
Kwamba anamuwekea pingamizi la ndoa iliyokuwa imetajwa kufanyika july 21 mwaka huu.Pamoja na mambo mengine Kamili anadai alipwe fedha za matunzo ya watoto.
Hali hii kwa katibu mkuu wa chama inamfanya kupoteza muda mwingi kudeal na kesi hiyo na chama kukabiliwa na wakati mgumu.Pia mahasimu wao wa kisiasa wanatumia mwanya huo kuwaharibia kuwa kuhusu uadilifu na hawafai kuongoza nchi......
Ccm from throne to the deathbed, ni swala la muda tu, wanachofanya ni kujiongeza damu ili waongeze muda wa kuishi, kama afanyavyo mkuu wao na liwalo na liwe...
..
Mie naona umekosea mwenye wakati mgumi ni aliempora mchumba maremu shehe Gologosi!!
Sasa mzimu wa marehemu unamuandama!!
we ni Cha nazi kama yeye!
Hatupaswi kujipa moyo kuwa tuko salama.Tupo kwenye wakati mgumu sana na tunahitaji kutoka salama.
Mbona mambo madogo sana hayo,
Slaa ana kesi ya kijinga tu ya kushindwa ku-manage wanawake..solution yake atangaze kwamba anakuwa muislam anaoa wote wa wawili kwa pamoja
hizo zingine blablah
Na unajiita chadema!Watu kama wewe hawakisaidii chama kabisa.Unafikiri kuisema chadema ni kutoipenda?Huna tofauti na akina Zomba humu ambao wao kila kitu ni kuitetea CCM hata wakiua!