Hardtime for chadema

yaani katika wote waliopo kwenye payroll ya nape..wewe angalau umejiunga 2011, wenzako wamejiunga june na july 2012..wewe ndo senior wao...posho yako lazima kubwa, kaza buti si unajua hata hospitals zimetengewa 5 billion na wastaafu wana 8 billion ...na nyie labda mtakumbukwa kwenye ufalme wa nape siku moja
 
yaani katika wote waliopo kwenye payroll ya nape..wewe angalau umejiunga 2011, wenzako wamejiunga june na july 2012..wewe ndo senior wao...posho yako lazima kubwa, kaza buti si unajua hata hospitals zimetengewa 5 billion na wastaafu wana 8 billion ...na nyie labda mtakumbukwa kwenye ufalme wa nape siku moja

Nasikitishwa sana na wanachadema wenzangu ambao wao fikra zozote tofauti huona ni kutoka upinzani!Sasa hapa umejibu nini?Kubali kuwa chama kina hardtime au kataa kwa hoja.Unashindwa nini?
 
Mbona mambo madogo sana hayo,

Slaa ana kesi ya kijinga tu ya kushindwa ku-manage wanawake..solution yake atangaze kwamba anakuwa muislam anaoa wote wa wawili kwa pamoja

hizo zingine blablah

Kabla ya kumshauri kuwaoa wote wawili ungeuliza kwanini waliachana
 
Nasikitishwa sana na wanachadema wenzangu ambao wao fikra zozote tofauti huona ni kutoka upinzani!Sasa hapa umejibu nini?Kubali kuwa chama kina hardtime au kataa kwa hoja.Unashindwa nini?


kwendaaaaaaa hukoooo...hard time ipi?
 
Ccm from throne to the deathbed, ni swala la muda tu, wanachofanya ni kujiongeza damu ili waongeze muda wa kuishi, kama afanyavyo mkuu wao na liwalo na liwe...
 
1.Katibu wake mkuu anakabiliwa na kesi aliyofunguliwa na Rose Kamili.
Kwamba anamuwekea pingamizi la ndoa iliyokuwa imetajwa kufanyika july 21 mwaka huu.Pamoja na mambo mengine Kamili anadai alipwe fedha za matunzo ya watoto.
Hali hii kwa katibu mkuu wa chama inamfanya kupoteza muda mwingi kudeal na kesi hiyo na chama kukabiliwa na wakati mgumu.Pia mahasimu wao wa kisiasa wanatumia mwanya huo kuwaharibia kuwa kuhusu uadilifu na hawafai kuongoza nchi......

Mie naona umekosea mwenye wakati mgumi ni aliempora mchumba maremu shehe Gologosi!!

Sasa mzimu wa marehemu unamuandama!

we ni Cha nazi kama yeye!
 
Ccm from throne to the deathbed, ni swala la muda tu, wanachofanya ni kujiongeza damu ili waongeze muda wa kuishi, kama afanyavyo mkuu wao na liwalo na liwe...

Hatupaswi kujipa moyo kuwa tuko salama.Tupo kwenye wakati mgumu sana na tunahitaji kutoka salama.
 
..
Mie naona umekosea mwenye wakati mgumi ni aliempora mchumba maremu shehe Gologosi!!
Sasa mzimu wa marehemu unamuandama!!
we ni Cha nazi kama yeye!

Na unajiita chadema!Watu kama wewe hawakisaidii chama kabisa.Unafikiri kuisema chadema ni kutoipenda?Huna tofauti na akina Zomba humu ambao wao kila kitu ni kuitetea CCM hata wakiua!
 
Mbona mambo madogo sana hayo,

Slaa ana kesi ya kijinga tu ya kushindwa ku-manage wanawake..solution yake atangaze kwamba anakuwa muislam anaoa wote wa wawili kwa pamoja

hizo zingine blablah

kwakua slaa ana HAMU SANA ya kuwa rais wetu nadhani ataufanyia kazi ushauri wako.
 
Na unajiita chadema!Watu kama wewe hawakisaidii chama kabisa.Unafikiri kuisema chadema ni kutoipenda?Huna tofauti na akina Zomba humu ambao wao kila kitu ni kuitetea CCM hata wakiua!


Sasa na wewe hutaki tuseme first lady alikuwa mchumba wa Gologosi marehemu?







Wanionea bure....


Mie Chadema damu! baba wala propaganda zenu za kijinga dhidi ya chama chetu maki hazinitishi.....

Kwanza wewe mwenyewe ndiye zomba, unazuga tu.... wenye akili tunaelewa mbinu zenu za kijinga!


.
 
Siasa itabaki kuwa siasa, sijui unataka kutuambia nini hapo, mbona hutupi majina ya wanaccm waliohusika kuua arumeru, kupiga wabunge wa cdm-mwanza na hata huyu anayehusika na utekaji wa dr. ulimboka?
 
Katika siasa, hasa hapa Tanzania, mwanasiasa anahitaji kuwa anazungumziwa ktk vyombo vya habari vingi iwenavyo. Kitu muhimu ni kwamba mwanasiasa huyo awe anazungumzia matatizo ya wananchi na apendekeze utatuzi unaokubalika.

Kwa upande wa CHADEMA, ni dhahiri kwamba sehemu nyingi nchini Tanzania, ktk miezi ya karibuni, wanakubalika sana. Ndiyo sababu hata WanaCCM wengi wanajivua magamba na kuomba kadi za CHADEMA. "Peoples Power" na "Hakuna Kulala. Mpaka Kieleweke!" vimekuwa ni kauli mbiu za kitaifa sasa.

Kwa hiyo sioni tatizo hilo unalolizungumzia. On the contrary, Watanzania wengi wanawajua na kuwapenda wanaCDM waliotajwa: kwa umakini wao, uzalendo wao, na jinsi wanavyojieleza ktk kutatua matatizo ya nchi yetu.

Sisemi hapa kwamba tatizo la Dr Slaa na Mama Kamili sio la maana. Hata Mh. Mnyika pia ana jambo la kujieleza. Lakini kwa ujumla, hawa ni wanasiasa safi, na Watanzania wengi wana matumaini kutokana na jinsi wote hawa pamoja na kundi lote la viongozi wa CDM wanavyojituma kuleta suluhu ktk matatizo ya nchi yetu.

Kwa hiyo sioni "Hard times for CHADEMA". On the contrary nasema Uzi ni huo huo kwa uongozi wa CDM!!!

 
Back
Top Bottom