Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

Kuna omba omba wengi sana hapo mtaani, ni bora hiyo pesa ungeenda kununua mitumba ya nguo na kuwagawaia hao, ama ungewanunulia chakula kwa pesa hiyo.

Practice what you preach!! Je ccm wamewahi kufanya hivyo? Pamoja na kodi tunayowapa na zile wanazopora?
 
Nchi hii itakombolewa hata na sh 1 ya watanzania wapenda mageuzi na si mamilion ya kifisadi. Itajengwa na wenye moyo na uchungu wa rasilimali za umma. M4C for real.
Viva CDM.
 
Ndesa Pesa alisema zipo nyingi ndani na nje ya nchi..akakolieza nyingi tuu..sioni aibu..ni halali hazina ufisadi...
 
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?

Tafadhali GeniusBrain THIBITISHA MADAI YAKO!
 

watanzania wanafiki sana,mzee anachangia pesa zote hizo wakati vibarua wake wa kampuni yake ya utalii wanateseka pale katika hoteli yake ya keys hotel kusubiri ujira ambao kwanza wanapunjwa sana,wanacheleweshewa sana,wafanyakazi wa redio yake wanalia njaa! Mi nafikiri badala ya kujionyesha kwenye itv, angewasaidia kwanza vibarua wake otherwise huo unakuwa ni unafiki tuu ambao hauna maana
 

Dewji ni mmoja wa wafanyabiashara wakubwa siyo wanaosamehewa bali wanaokwepa kulipa kodi. wafanya biashara wa aina hii wako CCM siyo kwa mapenzi ya dhati bali kama kichaka cha kujifichia. Hivyo basi kwa kuchangia Shs million 560 ni kama kurudish hisani ya kulindwa chama cha Magamba kwa gharama ya wtanzania masikini.
 
Mshahara wa housegirl nao utapanda. Nauli ya mwana kwenda school nayo itakuwa juu.
 
Dewji anaongoza kwa kudaiwa na mabenki,ndie muuzaji mkubwa wa sukari ya magendo toka malawi,brazil!anauzapembe za ndovu
 
Dewji anaongoza kwa kudaiwa na mabenki,ndie muuzaji mkubwa wa sukari ya magendo toka malawi,brazil!anauzapembe za ndovu

Mkuu, hizi tuhuma ulizozitoa kwa nini usizipeleke kweye vyombo husika?
 
Chama cha walalamikaji, chama kila mara kinaona kinonewa!
Hongereni CDM kwa kuweka historia mpya TZ ya kuomba omba kuanzia kura hadi fedha za kuendesha chama na za kampeni!

heri kuomba kuliko kuiba sasa ccm akiwemo mkuu wa nchi hii ni mtaalam wa kwenda kuomba omba nje lakini anatunyonya watanzania kwa kutulipisha kodi nyingi then wanagawana (kuiba),kuzifisadi pesa zetu
 
Nakumbuka una alama nyeusi kwenye kalio lako la kushoti!
Mtamu weye!!!
 
Nimefika nyumbani saa 3.00 usiku huu, nikitokea Nairobi kumwona Kijana wa ndugu yangu aliyepata ajali ya gari, pamoja na kumwona daktari wangu. Sitaweza kufika ukumbini, lakini kama Muasisi wa Chadema nachangia Shilingi Milioni Nne.
Pole mzee wetu,tunamwomba Mungu akujalie maisha marefu ili uje ushuhudie Chama ulichokiasisi kikikamata dola na kuleta maisha bora kwa Watanzania wenzako.
 
Manyanza,
Nipo na vijana wangu wa kazi mabingwa wa IT wanaweza kufanya Network's Collapse kwenye makampuni yote ya simu, lakini nimeamua kuacha mpate pesa kidogo ya kula.

Si kweli unajidanganya... Huna uwezo huo na huna watu wenye uwezo huo. Kwani kukubali issue kuna tatizo gani ?
 

Hii Star TV nilikuwa nadhani ni ya magamba!!! Wamebadili msimamo au ni biashara mbele???
 
Si kweli unajidanganya... Huna uwezo huo na huna watu wenye uwezo huo. Kwani kukubali issue kuna tatizo gani ?

Manyanza,
Nipo na vijana wangu wa kazi mabingwa wa IT wanaweza kufanya Network's Collapse kwenye makampuni yote ya simu, lakini nimeamua kuacha mpate pesa kidogo ya kula.

Mkuu Pipiro, Ritz yuko na mdogo wake, Miraji ndio bingwa wa kuchakachua wana ofisi zao pale Upanga, hhaaaa haaa haina haja ya kubishana nae we poteza tu
 
Kwa mara nyingine watanzania wanaibiwa na kuchakachuliwa na watu wanaojiita wapinzani, eee mungu tuokoe na hawa wafanyabiashara
 
Hii Star TV nilikuwa nadhani ni ya magamba!!! Wamebadili msimamo au ni biashara mbele???

Dialo ccm washamwaga naye kaamua kulipa kisasi na ndicho kinauchotokea. 2010 alishindwa kuiruhusu coz naye alikuwa mgombea ila sasa ni mwanachama huru kabisa. Viva Dialo kwa maamuzi magumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…