Thubutuu!!!? sasahivi hata baadhi ya viongozi wa ccm wanaipenda CDM kimoyomoyo
Chama cha walalamikaji, chama kila mara kinaona kinonewa!
Hongereni CDM kwa kuweka historia mpya TZ ya kuomba omba kuanzia kura hadi fedha za kuendesha chama na za kampeni!
Rejao nakuheshimu walati magamba ni ombaomba kuliko chama chochote hapa nchini!Chama cha walalamikaji, chama kila mara kinaona kinonewa!
Hongereni CDM kwa kuweka historia mpya TZ ya kuomba omba kuanzia kura hadi fedha za kuendesha chama na za kampeni!
Wewe sikuamini tena ulituletea picha feki ya mwaka jana ukasema ni ya leo Arumeru hovyo kabisa.Namba za kuchangia ni 0757 755333,0763 744334 - MPESA
ukombozi ni kwa kutembeza bakuli, tena naomba hili bakuli litembee nchi nzima kama mwenge wa uhuru, nchi hujengwa na wananchi na siyo kikundi kidogo cha watu
bravo CDM
Dr Slaa kataja baadhi ya hujuma zinazofanywa na serikali ya ccm kuhusu uchaguzi wa Arumeru East ikiwa ni pamoja na ongezeko la vituo feki 52 vya kupigia kura, Lubuva na mkurugenzi watofautiana!
Jingine ni kuhusu tangazo la mkurugenzi wa wilaya kutangaza kuwa mwaka huu hataweka majina ya wapiga kura vituoni, baada ya Dr Slaa kuunguruma majina yote yaliwekwa tangu jana na wananchi wanaendelea kuhakiki majina yao vituoni!
Na mengine mengi!
Anakaribishwa m/kiti Mhe Mbowe!
Rejao nakuheshimu walati magamba ni ombaomba kuliko chama chochote hapa nchini!
Kuna watu wa kuwaomba michango na siyo kila mtu!Rejao nakuheshimu walati magamba ni ombaomba kuliko chama chochote hapa nchini!