Harambee: Kuiona Mechi ya Brazil na Taifa stars

Rais nishamchamba sana.

Na wewe una wajibu kukataa kuhusika vyovyote na upuuzi huu. Kunatakiwa kuwe na movement ya ku boycott hii mechi kutoka kwa watu wote wasiojiweza kiuchumi wa Tanzania.

Nakushangaa unavyoshabikia kitu ambacho huwezi kukimudu, kitu ambacho kimetumia vibaya hela yako ya kodi.

Hizo $ 6m wangeweza kuwapa walimu raises hata kama ni kwa gesture tu ya ku raise morale na solidarity.

Instead, wanatumia live ammunition against you, na wewe unafurahia kabisa, tena unatafuta kiingilio kwa nguvu.

Ni kama kondoo anayetafuta nauli ili aende machinjioni kuchinjwa.

kama kuingizwa mkenge, tumeshaingizwa mkenge, hatuna budi kwenda kuuangalia huu mpira,kususa haitatusaidia tutakosa yote,,bora tupate moja walau...kuboycott kama unavyosema wewe katika jambo kama hili ni kitu cha kijinga. ndo tatizo lenu kila kitu mnataka kususasusa bila hata kufikiria. tunaoenda kuangalia tutaenda, wasioenda wabaki home na tv wala wasifungue kutuchungulia tukiwa uwanjani...bora tukanunue ticket kuchangisha walau kirudi kidogo tulichobambikwa...tukisusa kabisa si ndo tutakula hasara ya moja kwa moja? fanya boycott peke yako wala usiende.....si ajabu unaongea ivi kumbe umeshaweka ticket yako mfukoni tayari...kalagabaho nyie wengine...
 
Sasa nifanyaje mkuu? hilo la kuwaleta Brazil kwa gharama kubwa ndilo limenikasirisha mpaka nikaamua na mimi kama nikienda itakuwa sio mbaya sana.Kwa vile hata nikisusa kwenda wengine wataenda,hivo bora angalau niambulie fahari ya macho.
twende tu Kiranga tukacheki game kama unawezo.

Trust me halijakukasirisha, lingekukasirisha tungeona tu.

Tatizo letu kila mtu anasema "nisipokwenda wengine wataenda" ni kama yule muuza madawa ya kulevya anayejaribu ku justify kuuza madawa ya kulevya kwa kusema "nisipouza mimi, wengine watauza". Forget about wengine, wewe fanya sehemu yako, usiende, protest.

Kama wengine wasipofanya sehemu yao ni shauri yao.

Mimi nashindwa kuelewa watu wanaotaka kuishi juu ya uwezo wao, zaidi ya hapo wanapohusisha wengine kwenye anasa zao kwa kuja kuomba omba hapa.

Ndiyo maana hatuendelei, hatufikiri kwa makini.Tunataka kudevela tu kama wateja wa madawa ya kulevya, always looking for the next high.

Bwana kutwa anashinda kwenye baa kunywa pombe, bibi anatafuta mfadhili wa kumpeleka kwenye mechi.

Bibi ashapata "somo" wa kumfundisha mbinu za kupata hela, na bwana nina mashaka kama anaweza kujizuia na mabaamedi wenye uchu.
UKIMWI utaisha kwa style hii?
 
Trust me halijakukasirisha, lingekukasirisha tungeona tu.

Tatizo letu kila mtu anasema "nisipokwenda wengine wataenda" ni kama yule muuza madawa ya kulevya anayejaribu ku justify kuuza madawa ya kulevya kwa kusema "nisipouza mimi, wengine watauza". Forget about wengine, wewe fanya sehemu yako, usiende, protest.

Kama wengine wasipofanya sehemu yao ni shauri yao.

Mimi nashindwa kuelewa watu wanaotaka kuishi juu ya uwezo wao, zaidi ya hapo wanapohusisha wengine kwenye anasa zao kwa kuja kuomba omba hapa.

Ndiyo maana hatuendelei, hatufikiri kwa makini.Tunataka kudevela tu kama wateja wa madawa ya kulevya, always looking for the next high.

Bwana kutwa anashinda kwenye baa kunywa pombe, bibi anatafuta mfadhili wa kumpeleka kwenye mechi.

Bibi ashapata "somo" wa kumfundisha mbinu za kupata hela, na bwana nina mashaka kama anaweza kujizuia na mabaamedi wenye uchu.
UKIMWI utaisha kwa style hii?

You have a point broda! Kuna watu wanapenda kuishi maisha yasiostahili zao
 
kama kuingizwa mkenge, tumeshaingizwa mkenge, hatuna budi kwenda kuuangalia huu mpira,kususa haitatusaidia tutakosa yote,,bora tupate moja walau...kuboycott kama unavyosema wewe katika jambo kama hili ni kitu cha kijinga. ndo tatizo lenu kila kitu mnataka kususasusa bila hata kufikiria. tunaoenda kuangalia tutaenda, wasioenda wabaki home na tv wala wasifungue kutuchungulia tukiwa uwanjani...bora tukanunue ticket kuchangisha walau kirudi kidogo tulichobambikwa...tukisusa kabisa si ndo tutakula hasara ya moja kwa moja? fanya boycott peke yako wala usiende.....si ajabu unaongea ivi kumbe umeshaweka ticket yako mfukoni tayari...kalagabaho nyie wengine...

Nani kakwambia huna budi kuangalia huu mpira?

Kwangu mimi ukienda kuangalia mpira huu unahusika moja kwa moja kufanikisha upuuzi huu.

Kinachotakiwa hapa ni boycott kutoka kwa Watanzania wote wasiojiweza, labda serikali inaweza kupata message.

Lakini mkienda watajua watu wanapenda, mwakani mtaletewa tena.Si mmesupport?
 
kama kuingizwa mkenge, tumeshaingizwa mkenge, hatuna budi kwenda kuuangalia huu mpira,kususa haitatusaidia tutakosa yote,,bora tupate moja walau...kuboycott kama unavyosema wewe katika jambo kama hili ni kitu cha kijinga. ndo tatizo lenu kila kitu mnataka kususasusa bila hata kufikiria. tunaoenda kuangalia tutaenda, wasioenda wabaki home na tv wala wasifungue kutuchungulia tukiwa uwanjani...bora tukanunue ticket kuchangisha walau kirudi kidogo tulichobambikwa...tukisusa kabisa si ndo tutakula hasara ya moja kwa moja? fanya boycott peke yako wala usiende.....si ajabu unaongea ivi kumbe umeshaweka ticket yako mfukoni tayari...kalagabaho nyie wengine...
Need i say more? very well said UU.Yani umemaliza yote.
Sasa turudi kwenye pleji,utachangia ngapi?
 
Ukishindwa kabisa vizia wale kidedea watakapo kuwa wanaingia na wewe uwe umejichora usoni bendera ya Taifa utaingia.
 
Nani kakwambia huna budi kuangalia huu mpira?

Kwangu mimi ukienda kuangalia mpira huu unahusika moja kwa moja kufanikisha upuuzi huu.

Kinachotakiwa hapa ni boycott kutoka kwa Watanzania wote wasiojiweza, labda serikali inaweza kupata message.

Lakini mkienda watajua watu wanapenda, mwakani mtaletewa tena.Si mmesupport?

hivi kwa fikra zako na utashi wote unafikiri kitu kama icho kinawezekana kwa watz juu ya huu mpira? au mbona strategy zako hazina tegemeo la kufanikiwa? nafikiri unaongelea mawazo ya hadithi za kusadikika...yaani ni mapendekezo yako ukiwa umekaa hapo home...kwa reality ya watz hapo umechemka haitawezekana. Well, wewe baki home, sisi wengine tutaenda kuangalia, ila tunaomba usifungulie hata tv tu kuchungulia kinachoendelea...wamemwaga ugali, wewe unamwaga mboga, sisi tunakusanya ugali tunaosha, na minyama iliyomwagwa tunakusanya tunaosha na kuitafuna ivoivo..maisha ya ktz yanaendelea.
 
Need i say more? very well said UU.Yani umemaliza yote.
Sasa turudi kwenye pleji,utachangia ngapi?

mwanangu, ngoja kwanza nijifikirie, nilipe ada ya madogo, ninunue chakula cha ng'ombe,nguruwe na kuku kule shambani, nitoe mchango church, nimnunulie mamsapu zawadi ya surprise, ninunue ticket yangu na waifu, halafu ikibaki chenji nitaku PM.....,
 
Tatizo letu hatufikirii zaidi ya urefu wa pua zetu.
Tatizo lako Kiranga you are the complicator.Unatoa majibu rahisi kwa maswali magumu and vice versa.
Sasa hilo swala la ukimwi linakujaje na mechi ya Brazil?Huyo Mwazani amesema ananipa wazo la biashara na sio la kuambukizwa ukimwi.Kumbuka pia am not a Moron na mtu hakatai wito bali ujumbe.
Hicho kitu unasema cha Boycort mechi ni kigumu sana kwa sasa.Mimi ni 1/4 mil ya Wa tz wa Dar,nitakuwa najisumbua tu nikisusa.TUTAFUTE STRATEGY nyingine ya kuleta mapinduzi lakini hii ni ya kitoto hata kama kuna makosa makubwa kuileta Brazil bongo.
 
hivi kwa fikra zako na utashi wote unafikiri kitu kama icho kinawezekana kwa watz juu ya huu mpira? au mbona strategy zako hazina tegemeo la kufanikiwa? nafikiri unaongelea mawazo ya hadithi za kusadikika...yaani ni mapendekezo yako ukiwa umekaa hapo home...kwa reality ya watz hapo umechemka haitawezekana. Well, wewe baki home, sisi wengine tutaenda kuangalia, ila tunaomba usifungulie hata tv tu kuchungulia kinachoendelea...wamemwaga ugali, wewe unamwaga mboga, sisi tunakusanya ugali tunaosha, na minyama iliyomwagwa tunakusanya tunaosha na kuitafuna ivoivo..maisha ya ktz yanaendelea.

Hakuna chochote kinachofanyika bila kufikirika.

Kama kila mtu angekuwa na pathetic thinking kama yako, Marekani isingepata uhuru, maana walipoanza vita vya uhuru kina John Adams na George Washington ilikuwa inaonekana kupata uhuru ni kama ndoto.

The same applies to Nyerere and Tanzania.

Kama Gandhi angekuwa na woga kama wako historia ya India ingekuwaje? Angeweza kufanya boycott ya nguo za Kiingereza na kuuangusha utawala wa Uingereza?

Martin Luther King angeweza kufanikisha Civil Rights movement?

Tatizo letu tunataka kutumia kisingizio cha "haiwezekani' wakati hata hatujajaribu.

Na si lazima iwezekane 100%, hata kama tukianza kwa mafanikio ya 10% tu, tunaweza kuendeleza campaign kesho.

Tatizo ni kwamba watu wana uchu wa kuona mechi, halafu hapo hapo wanajitia kuishambulia serikali kwa kuileta Brazil. Kama una principle huwezi kwenda kuiangalia hii mechi hata uwe na uchu vipi, na hata wengine wakienda haiwezi kukuuuma.

Hapa naona watu wanataka kuona mechi, halafu ukiwaambia wasiende on principle, wanaona haiwezekani kwa sababu wengine wataenda. Usijali nani ataenda, wewe fanya sehemu yako.Kesho mwingine ataelimika kutokana na mfano wako.

Ukisema naenda kwa sababu wengine wanaenda unapoteza moral authority ya kuisema serikali.
 
Charity mbona kama zimetosha na kupitiliza vile???? tusaidiane maana hata mie ndo kilio changu
vinginevyo wapwaz wanikonekiti na mmoja wa wachezaji basi...................(heheeee Mboni style)
 
Tatizo lako Kiranga you are the complicator.Unatoa majibu rahisi kwa maswali magumu and vice versa.
Sasa hilo swala la ukimwi linakujaje na mechi ya Brazil?Huyo Mwazani amesema ananipa wazo la biashara na sio la kuambukizwa ukimwi.Kumbuka pia am not a Moron na mtu hakatai wito bali ujumbe.
Hicho kitu unasema cha Boycort mechi ni kigumu sana kwa sasa.Mimi ni 1/4 mil ya Wa tz wa Dar,nitakuwa najisumbua tu nikisusa.TUTAFUTE STRATEGY nyingine ya kuleta mapinduzi lakini hii ni ya kitoto hata kama kuna makosa makubwa kuileta Brazil bongo.

Wewe unachekesha sana.Kwanza mimi ni complicator, halafu natoa majibu rahisi kwa maswali magumu !

Nafikiri wewe usiyejua kujinasua katika umasikini , unayeleta ombaomba hapa, ndiye unayetafuta majibu rahisi kwa maswali magumu. Swali gumu lenyewe ni 'Nijinasue vipi na umasikini?" Jibu lako rahisi ni "Kuwa ombaomba"

Nakubali boycott ni kitu kigumu, nilifikiri umesema natafuta majibu rahisi kwa maswali magumu? Inaonekana kama wewe ndiye unayetaka kutoa majibu rahisi kwa maswala magumu, na likija swala gumu kama la boycott unaliogopa, kulikwepa na kulifumbia macho.

Nishakwambia usijali wengine watafanya nini, wewe fanya part yako.Tatizo hatuna individualism, kila mtu ni kama Borg, huwezi kufikiri peke yako unataka kuamuliwa na collective thinking.

Naenda kwenye mechi kwa sababu nisipoenda jirani ataenda.

Jirani akila mavi utasema na mimi nakula kwa sababu jirani anakula?
 
Hakuna chochote kinachofanyika bila kufikirika.

Kama kila mtu angekuwa na pathetic thinking kama yako, Marekani isingepata uhuru, maana walipoanza vita vya uhuru kina John Adams na George Washington ilikuwa inaonekana kupata uhuru ni kama ndoto.

The same applies to Nyerere and Tanzania.

Kama Gandhi angekuwa na woga kama wako historia ya India ingekuwaje? Angeweza kufanya boycott ya nguo za Kiingereza na kuuangusha utawala wa Uingereza?

Martin Luther King angeweza kufanikisha Civil Rights movement?

Tatizo letu tunataka kutumia kisingizio cha "haiwezekani' wakati hata hatujajaribu.

Na si lazima iwezekane 100%, hata kama tukianza kwa mafanikio ya 10% tu, tunaweza kuendeleza campaign kesho.

Tatizo ni kwamba watu wana uchu wa kuona mechi, halafu hapo hapo wanajitia kuishambulia serikali kwa kuileta Brazil. Kama una principle huwezi kwenda kuiangalia hii mechi hata uwe na uchu vipi, na hata wengine wakienda haiwezi kukuuuma.

Hapa naona watu wanataka kuona mechi, halafu ukiwaambia wasiende on principle, wanaona haiwezekani kwa sababu wengine wataenda. Usijali nani ataenda, wewe fanya sehemu yako.Kesho mwingine ataelimika kutokana na mfano wako.

Ukisema naenda kwa sababu wengine wanaenda unapoteza moral authority ya kuisema serikali.

you are too late brother to organise your movement...kutofahamu kwako kuwa umeshachelewa ndo the most pathetic thinking kuliko zote. kutojua kuwa hicho kitu hakiwezekani ndo ajabu kubwa...usichangie mawazo yasiyowezekana, jaribu kuchangia kitu unachofikiri kinawezekana kwa watz hasa ktk mechi hii, ikipita hii mechi ndo uanze mawazo yako ya kitabu cha kusadikika.
 
Nimeambiwa na wanoko huyu celeb. anahaha sana anataka atoke na Rhobinho sijui kama atafanikiwa watu wenyewe wanakaa masaa tu

Fide nifanyie na mimi mpango basi...............lol!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom