Harakati za Chadema na mbinu za kuchukuwa dola


hakuna wabinafsi kama ccm .

1.ni wezi wa mali ya umma.

2.ni chama chenye kufadhiri wana uamsho.
3.ni wezi wa mali ya umma.

4.ni chama kinachoendekeza makundi.

5.ni chama kinachoanzisha ukanda na udini.


6. viongozi wake wandhurumu wazee wastaafu.
7.viongozi wote wa ccm ni waongo na wabadhirifu
 
..'mchakato unaendelea'' ,''tuko mbioni '', ''tunajipanga kulifanyia kazi'', ''mawazo tumeyapokea ,''serikali yenu ni sikivu'', ''hili tumelichukua'', Tumejipanga kikamilifu, Hilo tatizo litakua historia,Tuwe wavumilivu kwa mda huu mfupi,
Tume imeundwa kuchunguza tatizo,..... tunafanya upembuzi yakinifu,tuna mkakati kabambe,tuvute subira...
..........
 
chadema ni nguvu ya umma ccm ni nguvu ya pesa hamuwezi kushinda people's power,makaburu,gadafi,hosein mubaraka,idi amin na sasa inafuata ccm kwi kwi kwi tumewashika pabaya.
 

Aneua albino nae auliwe
Liwalo na liwe
Wazanzibar asilimia 99 ni waislamu
 

Toka huko uliko!!hujaelewa tu huko uliko kunakuathiri mno.
 

Naona leo umekuja na ujumbe ule ule ila kwa njia tofauti. Wanachama wasiotabirika ni wapi hao? mbona ccm kina wanachama wanaotabirika lakini hawashindi chaguzi bila hila?

Ni kuhodhi kupi wajibu wa kisiasa wa jamii unaozungumzia wewe? Hivi wanachama na viongozi wa CHADEMA si wanajamii au yanayotokea na kutishia maendeleo na amani ya nchi wao hayawahusu? Eti CHADEMA wanajihisi ni bora kuliko vyama vingine vya siasa. Kazi wanayoifanya ni ishara tosha na wewe unatambu kuwa ndicho chama bora ndio maana ukaandika hivyo. Mtaje kiongozi mmoja wa CHADEMA aliyetoa kauli kuwa CHADEMA ni bora kuliko vyama vingine. Eti CHADEMA wataingia ktk mgogoro watakapoitisha uchaguzi wa mwenyekiti? naomba usubiri hayo yatokee kwani waliopo sasa hivi uliwateua wewe? Walichaguliwa kwa amani na utulivu ndio maana baba yako akaanza kuhaha na yeye kutafuta UDOKTA ili alingane na mwenzaka. Mna vituko wewe na chama chako!!!!!
 
Ni kweli kabisa labda CDM wajipange kwa mwaka 2020 mwaka 2015 waongeze idadi ya wabunge tu kushika dola bado sana ingawa ukweli hawaupendi na kujiona wako wengi
 
Ah. Jamaa umeanza kuagua! Kwani CDM kuna uchaguzi wa mwenyekiti? ama CDM ndio wanateua mgombea urais sasa? Inavyoonekana kwa mawazo na mtazamo huu wa kuishi kwa hisia za kupandikiza fitina na tukiwaamini hawa nchi hii ni vigumu kuendelea.
 

Ww pia una mdomo mkubwa,angalia ccm rais aliyetoka bara ni Mwl2.Lakini mzee ruksa,nkapa na Bariz ni kanda ya pwani au hukuliona hilo kama nyani na k.....e?ACHENI PROPAGANDA ZA MWAKA47.
 
Kwa hivyo unajitutumua kkupost alafu unajibu mwenyewe, i can emagin uko hapo lumumba ofisini umezungukwa na comp. Zote umefungua jamii f. Unapost huku huku unajibu yaani uko busy mbaya alafu unapokea simu ya np. Anakuuliza kazi vipi unamjibu leo sio mbaya naendelea vizuri boss wali kwako leo unatoka sa ngapi job nikupe bia moja?je elimu yako ni ya kiasi gani?je wazazi wako wanajua kazi yako? Je unamke na watoto? Je wanajua kazi yako? Asante kwa leo....
pro cdm huwa hamna hoja zaidi ya kutukana
 
mkuu ritz yawezekana uliloliandika ni sahihi kiushabiki lakini si sahihi kimantiki na hii inatokana na mazoea na uchangiaji wako kwenye jamvi. Kwanini nimesema hivyo , ni kwasababu members wengi wameyachukua yako ya zamani na wewe unavyoishi kwenye jf kuliko ulichomanisha na kuandika.
 
Mkuu Ritz una maoni mazuri na chokonozi juu ya CDM ambayo yatasababisha Mnakasha hasa kuhusu nafasi ya mgombe Urais na Uenyekiti wa CDM. Ila sasa subiri haki kutoka kwa jamaa wa CDM ambao wanadhani kila anayeikosoa CDM basi ni mgomvi wao.

Sihitaji kuwa Sangoma kujua msimamo, ama mtazamo, ama dua ama matamanio ya Ritz na wengine wa aina hiyo juu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo.

Hapa hakuna mawazo unayoweza kuyaita chokonozi kwani huu ni muendelezo wa kampeni chafu na propaganda ambazo zimekuwa zikifanywa siku zote hapa JF na katika majukwaa mengine, kwahiyo hakuna jipya hapa.
Labda kilichofanywa na ritz hapa ni kujiongezea tu idadi ya thread hapa JF. :flypig:
 
Mimi nadhani wewe ndio una matatizo.. Kwa mtu yeyote anayeitazama nchi hii kwa Ukanda nadhnai yeye ndiye mwenye matatizo kwa sababu unategema mtu kutoka kanda nyingine atawezesha maendeleo kanda yake..Haya ndio makosa makubwa ya Muungano wetu na Zanzibar..

Makosa ambayo yaletufikisha hapa tulipo tukawapata kina Mwinyi, Mkapa na sasa JK kwa kutazama dini zao na Asili yao..Kwa fikra hizo Muungano unazidi kuwa na matatizo zaidi na zaidi na sasa imefikia mahala hatuwezi tena kuungana..Yalitokea Suda, Ethiopia na sasa imefika mahala Tanzania na Nigeria lazima zivunje muungano wao kutokana na tofauti zao..
 
Tuache jaziba na matusi. Hii ni taarifa, kwa mtu makini, kila taarifa hufanyiwa uchunguzi, vinginevyo, 2015 utabiri huu utawakuta. Haya bana, mie simo!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…