Logo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 588
- 48
Heshima Wakuu,
Naomba ushauri wenu nataka kuanzisha NGO.
1. Christian NGO
2. Itakuwa Mtwara
3. Itakuwa kwa ajili ya kuwasaidia watu kielimu (education center, Church, Chrisitian fm Radio)
Natatakiwa kwanza kuanza kwa NGO tu mengine yatafuata baadaye. Naombeni procedures nitafurahi sana, nifanyeje. Mfano nasikia kuna katiba, naombeni angalau template na mengine mengi Asanteni.
Naomba ushauri wenu nataka kuanzisha NGO.
1. Christian NGO
2. Itakuwa Mtwara
3. Itakuwa kwa ajili ya kuwasaidia watu kielimu (education center, Church, Chrisitian fm Radio)
Natatakiwa kwanza kuanza kwa NGO tu mengine yatafuata baadaye. Naombeni procedures nitafurahi sana, nifanyeje. Mfano nasikia kuna katiba, naombeni angalau template na mengine mengi Asanteni.