Dah....Leo tena....nimegonga umri zaidi ya mara 2 ya umri wa Ushimen ... karibu mara 3 ya umri wa Khantwe.... Bado nasimama wima. Nawashukuru wazazi wangu kwa kunilea kwenye maadili ya kutosema uongo (mshua) na kutokuvaa shati moja siku 2 mfululizo (bimkubwa)....nami napita mulemule....na kufanya maisha yanakuwa rahisi sana.. .nawapenda sana nyie wawili...
Nasubiri jua lipungue nije kuwachukua twende Coco Beach...tukale mishkaki na kucheza kwaito...nawaombea maisha marefu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.