Happy birthday to meee @kokutona

Happy birthday to meee @kokutona

Oooh Hepi Besidei Mpwa. Nitakua hapo Korogwe White Parrot uje upate juice. Hongera sana.
NB: Uzee mwisho Facebook; JF kila mtu Bebi hahahhaaahaaa

Thanks Elli mpwa wangu. I will be grateful to see u there. Mvinyo utahusu saaana eti?
Ahsantee
 
Dada yangu KOKUTONA HONGERA SANA kwa kufikia siku ya Leo, Hakika Mungu ni EBEN-EZER na ataendelea kuwa, kwa maana ndiye Yeye Yule jana leo na hata Milele.

Nikutakie maisha marefu yenye kila aina ya kheri na mafanikio ya kimwili na ya Kiroho hata ukawaone mana na wajukuu wa wana wako.. Mungu aendelee kukuonekania katika yote unayoyaendea kadiri ya kusudi na mapenzi yake mema kwako (Jer 29:11 - Mungu anakuwazia yalio Mema Siku zote)

Happy Birthday!!!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom