Happy birthday to meee @kokutona

Happy birthday to meee @kokutona

Aiseee shem mahaba yangu na Paloma kila siku ni mapya yaani.. ninampenda kuliko maisha.. kila nililonalo nimemkabidhi yeye.. mpaka siku yangu ya kudedi anajua..

Bravo sana. Keep it up. Ila mpaka siku ya kudedi. Hiyo no extraordinary. Nimeipenda
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday my dear KOKUTONA
Mungu akupe maisha marefu yenye furaha na amani na ukapate raha ya maisha na ukaongozwe pia katika kila unachokifanya
Mungu akujalie ya umande wa mbinguni kama Jacob
happy birthday once again
Amina sana mpendwa wangu. Maneno yako na yakapate kibali mbele za Mungu
 
Last edited by a moderator:
This is special for you my Dada KOKUTONA!
Happy birthday to you,Happy birthday to you,
Happy birthday dear koku
Happy birthday to you!

....................
Kwa niaba ya akananas wangu Paloma na Passion Lady tunakutakia maisha marefu na yenye mafanikio.
...................................
Tunasherekea birthday yako huku akanana Paloma akiwa hajarudi nyumbani na ana tumbo kubwa.... naomba wimbo huu umfikie huko alipo


Ameondokaaa, huku...hali yangu sio shwari, aliniahidi hatochelewa atarudiii...
Amekwenda kidogo nyumbani kuwasalimu wazazi.....
--------------------------
kyanaKyoMuhaya olinkaa umueke omwana koku?

Cc sosoliso
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday KOKUTONA Mungu azidi kukulinda na kukubariki
 
Last edited by a moderator:
Older than yesterday younger than tommorow happy birthday to you KOKUTONA
 
Last edited by a moderator:
Dada yangu KOKUTONA HONGERA SANA kwa kufikia siku ya Leo, Hakika Mungu ni EBEN-EZER na ataendelea kuwa, kwa maana ndiye Yeye Yule jana leo na hata Milele.

Nikutakie maisha marefu yenye kila aina ya kheri na mafanikio ya kimwili na ya Kiroho hata ukawaone mana na wajukuu wa wana wako.. Mungu aendelee kukuonekania katika yote unayoyaendea kadiri ya kusudi na mapenzi yake mema kwako (Jer 29:11 - Mungu anakuwazia yalio Mema Siku zote)

Happy Birthday!!!!!

Maneno yako mazuri sana. Hakika yamenipa FARAJA na nguvu ya kusonga mbele after this special day.
Be blessed my dear friend.
Thank you
 
Last edited by a moderator:
........
Happy birthday dear koku.........
.........Happy birthday to you!!!!!
 
Karibu sana, usinisahau kuzima kamshumaa kamoja jioni!!!!
Maneno yako mazuri sana. Hakika yamenipa FARAJA na nguvu ya kusonga mbele after this special day.
Be blessed my dear friend.
Thank you
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom