Kila mtu atamiliki kitu kwa wakati wake, kama unapambana basi Mungu ni wa haki, Muda ukifika atakupa tu na anaweza kukupa kikubwa zaidi ya wengine waliopata miaka mitano kabla yako.
Kila mtu atamiliki kitu kwa wakati wake, kama unapambana basi Mungu ni wa haki, Muda ukifika atakupa tu na anaweza kukupa kikubwa zaidi ya wengine waliopata miaka mitano kabla yako.
Hata usiogope wingi wa miaka uliyo nayo, bali furahia, kuwa na tumaini na nia njema, zaidi sana kuwa wa shukrani na usiache kutabasamu wakati wote.
Heri ya siku ya kuzaliwa.