happy birthday sweetlady!!!!!

Kwa kumbukumbu zangu ambazo naziamini sn tulishakula Happy Birthday ya SL mwezi wa Sita mwaka huuhuu!
Nina mashaka mzee mwenzangu Bishanga ameshikishwa hivi ili agharamie mashono ya gauni la mtindo mpya wa "CHITCHAT" . Ndiyo maisha mkuu wangu ...vumilia.

Nahisi wewe ni kiongozi wa tiefef maana wale jamaa kwa fitna mwisho.
 
Kwa kumbukumbu zangu ambazo naziamini sn tulishakula Happy Birthday ya SL mwezi wa Sita mwaka huuhuu!
Nina mashaka mzee mwenzangu Bishanga ameshikishwa hivi ili agharamie mashono ya gauni la mtindo mpya wa "CHITCHAT" . Ndiyo maisha mkuu wangu ...vumilia.
ha haaaaaaaaa, hii imenikumbusha enzi hizo tupo sekondari kulikuwa na pen-pal, bwana watu walikuwa wakipata pen-pal si wanadanganya bday,i.e. wanataja miezi miwili ijayo ili wapate card na zawadi...........
my wii wa ukweli sweetlady, njoo huku ututhibitishie hili maana mimi na pacha wako my one and only TANMO tunataka kuanza maandalizi ya bday hii haraka sana
 
Last edited by a moderator:
ni furaha iliyoje kusherehekea siku ya kuzaliwa mpendwa wetu sweetlady!
Happy birthday sweetlady,
Happy birthday sweetlady,
Happy birthday dear SL,
Happy birthday to you,
Many happy returns for you lovely SWEETLADY!!!!!!!!!!!!!!!!!

Shemu nashukuru sana ......yaani sijutii kamwe kuwa mke wa mdogo wako nitonye
Bishanga for real sina maelezo mengi ila wewe mwenyewe wajua vile nimefurahi kutoka uvunguni mwa moyo wangu!......mdogo wako kanipa ruhusa niku :busukwa leo tu! Barikiwa sana shemeji langu la ukwee!
 
Last edited by a moderator:
ha haaaaaaaaa, hii imenikumbusha enzi hizo tupo sekondari kulikuwa na pen-pal, bwana watu walikuwa wakipata pen-pal si wanadanganya bday,i.e. wanataja miezi miwili ijayo ili wapate card na zawadi...........
my wii wa ukweli sweetlady, njoo huku ututhibitishie hili maana mimi na pacha wako my one and only TANMO tunataka kuanza maandalizi ya bday hii haraka sana

Naona Wakuda wamemshtukia Pacha 'angu,, Ila kwa jinsi ninavyomwamini Pacha wangu hawezi fanya huu Usanii...
 
Happy Birthday Sweetie.
Wapi Kamati,
Wapi Ukumbi.

HAPPY BIRTHDAY sweetlady mamito.

Ahsante sana Madame B.....kamati atakuja kuitangaza wifi langu AshaDii.......sherehe inafanyika bukoba vijijini.....ila usijali shemeji Bishanga kajitolea jet lake kwaajili ya kuchukua watu kutoka nje na ndani ya tanzania......mie bado nipo huku ukweni mwenzio!
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday sweetie
Happy birthday
Happy birthday
Happy birthday to you,
naomba niwe kamati ya kukaribisha wageni mana kuna nataka kuwazuia mlangoni mana wanaweza kuharibu sherehe
 
Naona Wakuda wamemshtukia Pacha 'angu,, Ila kwa jinsi ninavyomwamini Pacha wangu hawezi fanya huu Usanii...
naona amekuja na kathibitisha kuwa ni kweli. ila sasa maandalizi yanafanywa huko ukweni alikoolewa na nitonye, na wifi yake AshaDii ndo ataandaa. sisi tutakuwa waalikwa
Hongera sana my wii sweetlady
images
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom