Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Kivuruge wangu mimi,kipenzi changu,ndugu yangu na rafiki yangu kipenzi uliyekuwa nami tangu siku ya kwanza naingia jf hadi leo,nakupenda sana tena zaidi ya sana na zaidi nakuombea kila la kheri katika maisha yako na mwenyezi mungu akutimizie kila hitaji la moyo wangu na akupueshe na mabaya ya dunia


Asante babe wangu, kivuruge wa kwangu tu mimi si unajua vile nakupenda babe Mungu wetu azidi kutuweka tu 
wapiii Tater #teamarosto#


