Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,998
- 453,891
- Thread starter
- #1,321
Na kifo kinakaribia
Tabu kwel kweli
Jamani msiongee habari za kifo naogopa mmUmenikumbusha wiki ilopita nilikuwa hospital ile nimekaa nusu saa ukapita mwili ambao wagonjwa baadhi walisema huyu kaingia humu theatre akiwa anatembea mwenyewe lakini ona kashavuta
Niliwaza vingi sana muda ule
yaani kadri kunavyokucha ndivyo siku za kuwa hapa zinapungua!!!