Happy birthday Roulette! Mwaaaah

Wakati huu wa uchunguzi mimi najitolea kuokoa jahazi kwenye hiyo kamati. Nina uhakika hamta-regret, try me! Lol

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums

Good kumbe wapenda saana kujitolea Fixed Point. habari ya siku lakini mzima? sweetlady please hebu muweke kwen kamato ya vinywaji huyu?
 
Last edited by a moderator:
eeeeeeeeeeeeeh????????
kamati ya vinywaji imevunjwa?
naandamana,
niliandaa juisi za kutosha...
haiwezekani

Yaani!

baby BADILI TABIA hujambo lakini? Maana ndo ivo bosi kavunjilia mbali maana umetuhumiwa sana kwa kunywa vnjwaji vyote peke yao kwen mnuso wa Erickb52 jana
 
Last edited by a moderator:
Good kumbe wapenda saana kujitolea Fixed Point. habari ya siku lakini mzima? sweetlady please hebu muweke kwen kamato ya vinywaji huyu?

Hofu kwako.
Kujitolea ni kuzuri sana na kunafanya mtu ufanye kazi kwa moyo sababu hujalazimishwa. Wait and see

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Good kumbe wapenda saana kujitolea Fixed Point. habari ya siku lakini mzima? sweetlady please hebu muweke kwen kamato ya vinywaji huyu?

Hofu kwako.
Kujitolea ni kuzuri sana na kunafanya mtu ufanye kazi kwa moyo sababu hujalazimishwa. Wait and see

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kaizer wapi maandalizi ya sherehe?

Happy birthday Roulette..............................:baby::baby::baby::baby::baby::baby:

BTW.............. Kaizer Kuna vitu gani vizuri vizuri vitakuwepo kwnenye hii party?

wakulu apo juu nimewasoma saaana Erickb52 na platozoom,

kifupi mshereheshaji mkuu Asprin na sweetlady mwenza wake wameshadefine some of the issues,

Upande wa totoz Asprin atahakikisha wapo wa ukweli,,,, ila vinywaji kamati imevunjwa kwa muda huu yupo Fixed Point....kwa wale walioshindikana kama wewe platozoom na Erickb52 itabidi muanzie kwa 'mama muuza"

maakuli naona yatakuwa poa chini ya BADILI TABIA na princess enny,

baadaye tutaingia maisha club kujiachia, hilo wala halina shaka.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa hivi mama muuza ataweza kutusaidia kwa sasa?
Lol Kaizer jana platozoom alinambia kuwa Bishanga amegundua chimbo jipya la mama muuza kona fulani so kama unaweza tutafutie atupeleke chap
 
Last edited by a moderator:
Wakati huu wa uchunguzi mimi najitolea kuokoa jahazi kwenye hiyo kamati. Nina uhakika hamta-regret, try me! Lol

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
lol! we mrembo upo??? tumekumiss! usipotee hivyo pulizzzzzz!
 
Last edited by a moderator:
leo naomba kucheza kama mmaliziaji! mtanangi wenyewe wacheze wenyewe!
 
Humu JF kuna ubaguzi wa dhahiri, mie mwaka jana Birthday yangu hata mkate sikupewa, lakini wengine wanapewa makeki makubwa makubwa............. Hii si sawa kabisa.....LOL

Happy Bithday Roulette

Teh teh teh!!! Mzee Mtambuzi bwana...basi mwakani mimi nitakupa gorofa
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa hivi mama muuza ataweza kutusaidia kwa sasa?
Lol Kaizer jana platozoom alinambia kuwa Bishanga amegundua chimbo jipya la mama muuza kona fulani so kama unaweza tutafutie atupeleke chap

liwalo na liwe ila shemeji yangu cacico msije mkamfundisha hayo mambo ya kwa mama muuza.....msilewe sana sasa hadi wawastukie ala!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…