Wakati huu wa uchunguzi mimi najitolea kuokoa jahazi kwenye hiyo kamati. Nina uhakika hamta-regret, try me! Lol
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
eeeeeeeeeeeeeh????????
kamati ya vinywaji imevunjwa?
naandamana,
niliandaa juisi za kutosha...
haiwezekani
Good kumbe wapenda saana kujitolea Fixed Point. habari ya siku lakini mzima? sweetlady please hebu muweke kwen kamato ya vinywaji huyu?
Good kumbe wapenda saana kujitolea Fixed Point. habari ya siku lakini mzima? sweetlady please hebu muweke kwen kamato ya vinywaji huyu?
Kaizer wapi maandalizi ya sherehe?
Hofu kwako.
Kujitolea ni kuzuri sana na kunafanya mtu ufanye kazi kwa moyo sababu hujalazimishwa. Wait and see
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Dah Kaizer niko vizuri sana tu na Remmy amefanikiwa kunikuza kwa amani na furaha akisaidiana na sweetlady na The secretary
Hahahaaaa hivi mama muuza ataweza kutusaidia kwa sasa?wakulu apo juu nimewasoma saaana Erickb52 na platozoom,
kifupi mshereheshaji mkuu Asprin na sweetlady mwenza wake wameshadefine some of the issues,
Upande wa totoz Asprin atahakikisha wapo wa ukweli,,,, ila vinywaji kamati imevunjwa kwa muda huu yupo Fixed Point....kwa wale walioshindikana kama wewe platozoom na Erickb52 itabidi muanzie kwa 'mama muuza"
maakuli naona yatakuwa poa chini ya BADILI TABIA na princess enny,
baadaye tutaingia maisha club kujiachia, hilo wala halina shaka.
Hivi CUTE anajua kuwa BADILI TABIA ni baby wako Kaizer ?Yaani!
baby BADILI TABIA hujambo lakini? Maana ndo ivo bosi kavunjilia mbali maana umetuhumiwa sana kwa kunywa vnjwaji vyote peke yao kwen mnuso wa Erickb52 jana
lol! we mrembo upo??? tumekumiss! usipotee hivyo pulizzzzzz!Wakati huu wa uchunguzi mimi najitolea kuokoa jahazi kwenye hiyo kamati. Nina uhakika hamta-regret, try me! Lol
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
leo naomba kucheza kama mmaliziaji! mtanangi wenyewe wacheze wenyewe!Paw and cacico like this.
Wakulu na wakwenga.... Posti yangu kulamba like ya Paw inathibitisha nimekomaa kichitchat kama Mugabe, hii inaweka kipingamizi cha mie kulambwa BAN kwa miaka miwili ijayo hata nikivunja kanuni na sheria za nchi na JF. Nimeiweka hapa kama ushahidi asije akabadili mawazo akainyofoa.
MODS wote popote mlipo, please note accordingly.
cacico, BADILI TABIA na Yummy my dear wives chini ya usimamizi wa Kongosho, hebu mkuje pande hii leo tufanye fivesome.
The secretary alihakikisha Bishanga anahangaika na mageti kumbe yeye anakuogesha? Aliyeshuhudia tohara ni nani? nahisi Madame B. haaa!Dah Kaizer niko vizuri sana tu na Remmy amefanikiwa kunikuza kwa amani na furaha akisaidiana na sweetlady na The secretary
Young_Master naona umethumiwa hapoTeh teh teh!!! Mzee Mtambuzi bwana...basi mwakani mimi nitakupa gorofa
hahaha! Mr wangu ni mstaarabu. Inaelekea wake zako cacico Yummy na BADILI TABIA wanaoga mvua ya ngumi kwako.