MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Happy Birthday Baba Mchungaji, Mama Mchungaji aksante kwa mwaliko. Nije saa ngapi maana nina aleji na vitunguu swaumu so jikoni siingii!
Amy sio kabla. . . Ni siku ya Vale.
Sema nimewahisha kwasababu kesho sitokua na nafasi.
Atakuwa bize na Mr Valentine.ndo utakuwa bize na valentine?
Nampenda sana mtu anae keep promises.Amy sio kabla. . . Ni siku ya Vale.
Sema nimewahisha kwasababu kesho sitokua na nafasi.
Nampenda sana mtu anae keep promises.
Hii post imenipitaje hadi nimeiona sasa hivi
✌una mishe mishe mingi wewe
Heri ya kuzaliwa baba mchungaji . Nafikiri ni wakati wa kupandishwa cheo na kuwa bishop . Mungu akupe maisha marefu .
Happybirth day mchungaji, naona mama mchungaji anatimiza wajibu wake
Una miaka minngapi we kibabu?? HBD
I'm only 79 yrs old