GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
Oooohhh yaaaah asanteni wote! Im getting old and older, wise and wiser
Mubarikiwe nyote na muumba
Happy birthday mkuu............inabidi leo nikutwange na japo glass ya champagne.....
Oooohhh yaaaah asanteni wote! Im getting old and older, wise and wiser
Mubarikiwe nyote na muumba
Pouwa..Enjoy your day RevHaya bana hiyo koko isomeke kokwa! Sante sana
Fuatilia posts zake ndio utayaamini maneno yangu!mmmhhh kwa hiyo unamashaka na uchungaji wake nini..
Happy birthday mkuu............inabidi leo nikutwange na japo glass ya champagne.....
Happy birthday baba Mchungaji, mungu akupe maisha marefu yaliyojaa furaha, amani na upendo!..
Nje ya mada: kondoo anasikitika kuachwa nyikani na mchungaji.
Salama kabisa baba mchungaji!....sasa unamwacha kondoo apotelee nyikani?.....haya bana! Ngoja kondoo ajitahidi kufyeka msitu peke ake mpaka atokezee mahali alipo mchungaji!....SL nashukuru sana!
Bana wewe ulikimbilia msitu mkubwa wa Nyika Mchungaji hawezi pita huko..Salama lakini?
Happy Birthday Mchungaji
Karibu tena kwenye jukwaa lako darajani