Happy birthday Rais Jakaya Mrisho Kikwete

Happy birthday Rais Jakaya Mrisho Kikwete

Ule ni mkopo wa billioni 99 tutalipa watanzania wote licha ya barabara kujengwa chini ya kiwango kama kawaida yao

Kwa hiyo ile furaha ya kucheza ndombolo kwenye ufunguzi wa hiyo barabara CHADEMA walikuwa wanafurahia deni hilo na barabara iliyojengwa chini ya kiwango?
 
Screenshot_2014-10-06-19-55-13.png hili boya nalo lilifanya birthday ya baby wake juzi lakini diamond na wema walimuuzi eti alipewa ukumbi wa bure na misosi ya bure double tree na akatoa zawadi ya kado na keki wakati haea watoto wadogo wema na diamond wamepeana murano na bmw, kakasirika hadi ameenda kumtia lockup mpambe wa wema haha
 
"Siku moja akatokea kiongozi wa Taifa letu, akatuambia huko nje kuna hela nyingi kuliko hapa nyumbani, mwambieni wewe ni mpumbavu" Mwalimu J.K. Nyerere.

"Kama kuna mtu ambaye anaamini nchi hii inaweza kuendelea kwa kusaidiwa, anajidanganya, Narudiia tena, Katika nchi hii kama kuna kiongozi anaamini nchi inaweza kuendelea kwa kupewa misaada, anajidanganya" Benjamin Mkapa.

"Unapoenda kuomba siyo kwamba wewe unapenda tu kuomba. Huko nje kuna mataifa yenye hela nyingi tu, unachotakiwa ni kujieleza, wakikuelewa, watakupa" Jakaya Kikwete.
Na ikitokea hawakupi nafasi ya kujieleza inakuwaje.......?!
 
Back
Top Bottom