sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 21,039
- 48,152
Leo ni siku ya kuzaliwa ndugu Jakaya
Pamoja na changamoto na mafanikio kutokana na aliyo yafanya nadhani na wakati muhimu kwa wanajamii forum kumtakia maisha mema na marefu.
Ni wakati pia wa kumkumbusha kwa yale ambayo hajayakamilisha basi m/mungu ampe wepesi wa kuyakamilisha
Karibuni..
Pamoja na changamoto na mafanikio kutokana na aliyo yafanya nadhani na wakati muhimu kwa wanajamii forum kumtakia maisha mema na marefu.
Ni wakati pia wa kumkumbusha kwa yale ambayo hajayakamilisha basi m/mungu ampe wepesi wa kuyakamilisha
Karibuni..