Happy birthday Rais Jakaya Mrisho Kikwete

Happy birthday Rais Jakaya Mrisho Kikwete

sumbai

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2014
Posts
21,039
Reaction score
48,152
Leo ni siku ya kuzaliwa ndugu Jakaya
Pamoja na changamoto na mafanikio kutokana na aliyo yafanya nadhani na wakati muhimu kwa wanajamii forum kumtakia maisha mema na marefu.

Ni wakati pia wa kumkumbusha kwa yale ambayo hajayakamilisha basi m/mungu ampe wepesi wa kuyakamilisha

Karibuni..
 
Khe khe khe hke,

sina mda wa kumtakia happy .b.day mtu kama yule.
 
hakuna alichofanya zaid ya kukopa tu na kupepea hewan kila kukicha
 
hakuna alichofanya zaid ya kukopa tu na kupepea hewan kila kukicha

MHUUUU acha umbeya hizo ruzuku za vyama na posho za wabunge wenu vipi hajasaidia kuhakikisha mnazipata? Juzi tu tumeona akina halima mdee na wengine wachadema mnacheza ndombolo kufurahi kwenye ufunguzi wa barababara mpya hapo vipi napo hajafanya chochote?
 
MHUUUU acha umbeya hizo ruzuku za vyama na posho za wabunge wenu vipi hajasaidia kuhakikisha mnazipata? Juzi tu tumeona akina halima mdee na wengine wachadema mnacheza ndombolo kufurahi kwenye ufunguzi wa barababara mpya hapo vipi napo hajafanya chochote?

Ule ni mkopo wa billioni 99 tutalipa watanzania wote licha ya barabara kujengwa chini ya kiwango kama kawaida yao
 
Hajaenda kusherekea Marekani kweli? Hahahahaaaaaaaa, Safari hii atasherekea na wachezaji wa Madrid
 
Yani watu walivyo wajinga wanadhani kila anayekuwa kinyume na viongozi na ccm basi ni chadema.Ni akili NDOGO sn.
Kama jamaa hapo juu anayejiita East Africa nini sijui,kakosa AKILI.
WANAOIPINGA CCM NA VIONGOZI WAKE SI WAPINZANI TENA BALI NI RAIA WA KAWAIDA NDUGU,NJO NIKUTHIBITISHIE HUKU.HAWANA NA HAWAKUWAHI KUWA NA KADI ZA VYAMA VYA SIASA.
Kagame kiongozi wa kweli
 
Back
Top Bottom