Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Siku kama ya leo, Jumatano ya Oktoba 30, 2007, gazeti la Raia Mwema lilianzishwa na kuingia sokoni, leo ni siku maalumu kwao na kwetu wana JF maana wamekua na mchango mkubwa katika mijadala yetu humu ndani. Nawapongeza na kuwatakia kila la kheir katika mapambano ya demokrasia ya kweli Tanzania. Ikiwa ni miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika, Raia Mwema litusaidie kupata uhuru wa kweli wa kifikra kwa Watanzania wote.