Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,751
Gazeti la Raia mwema la leo limekuja na habari kwamba kampuni iliyopewa kibali na mahakama kuuza mali za mwanaharakati huru mzalendo wa kweli asiyependa ufisadi bwana Cyprian Musiba ili kumlipa billion 9 mzee wa kuingia dakika ya 89 halafu akaishia kufanya kampeni za urais kwenye kijiji cha Rondo, ambaye anajulikana kwa kutoacha legacy yoyote kwenye utumishi wake bwana Bernard Membe imepigwa stop na watu wasiojulikana!
Ni nani anayelinda mali za Musiba?
Ni nani anayelinda mali za Musiba?