Happy Birthday My Dear Brother GARMII......

Dena Amsi

R I P
Aug 17, 2010
13,082
4,260
Kwa heshima na taadhima napenda kukutakia Kaka yangu mpendwa (GARMII) Heri na Baraka kwa siku yako ya kuzaliwa 28/06.

Mungu akutangulie katika maisha yako na akuongoze na kukuongezea hekima na busara.

Happy Birthday (GARMII) !!!!!!!!!!!!!!!

Dada yako Dena Amsi
 
Kwa heshima na taadhima napenda kukutakia Kaka yangu mpendwa (GARMII) Heri na Baraka kwa siku yako ya kuzaliwa 28/06.

Mungu akutangulie katika maisha yako na akuongoze na kukuongezea hekima na busara.

Happy Birthday (GARMII) !!!!!!!!!!!!!!!

Dada yako Dena Amsi

Ni kaka yako kivipi huyu?
Naomba ufafanuzi wa ziada!
Vinginevyo namtakia heri katika siku hii kuu na muhimu kwake.
 
Ni kaka yako kivipi huyu?
Naomba ufafanuzi wa ziada!
Vinginevyo namtakia heri katika siku hii kuu na muhimu kwake.

Hiyo bluu ndo kutakiana heri huko?? PJ hebu acha uchokozi asubuhi subuhi bana kha!!!
 
Kwa heshima na taadhima napenda kukutakia Kaka yangu mpendwa (GARMII) Heri na Baraka kwa siku yako ya kuzaliwa 28/06.Mungu akutangulie katika maisha yako na akuongoze na kukuongezea hekima na busara.Happy Birthday (GARMII) !!!!!!!!!!!!!!!Dada yako Dena Amsi
thnx my sister,mungu akulinde na mabaya na akupe maisha marefu yenye furaha! Naas.
 
Sa si mseme jioni mnatuachaje?... kama ni dongobesh, Katesh, Bashnet au Madunga tuanze kusogea taratibu!
pk vp mkubwa?mbona unambana sn my sister aise khaa! Ngoja nikamwambie kumba wangu,subiri usikimbie!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom