Happy birthday mrembo NAKWEDE

Gari nimenunua mkuu hilo ni third part sio sehemu yangu.. Nikizaa mtoto huyo ni sehemu yangu na nimezaa wa kufanana nami. Naaamini unajua siwezi kuzaa mnyama ama kitu kingine
 
Hakuna niliposema ni binti lakini.. Urembo ni kitu cha asili ama unamaanisha urembo feki wa kununua dukani? Hapana huyu hana huo urembo.. Basically there is inner beauty huo hauchakai wala hauzeeki..Achana na huu mwili uharibikao

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…