Happy Birthday Mke wangu Mpenzi...

Happy Birthday Mke wangu Mpenzi...

Leo tarehe 20 November!
Ni siku ya furaha sana sana!
Mpenzi wa moyo wangu shansarie anatimiza miaka kadhaa..
Honey!
Umepitia mengi katika haya maisha ya duniani, nakupongeza sana kwa kuyakabili magumu yote na kuzidi kusonga mbele.
Mungu awe na wewe siku zote..

Happy birthday to you.

I LOVE YOU SO MUCH!!

Copy kwa ndugu na marafiki zangu wote wa JF.
few to mention..
Baba V, Mamndenyi, Arushaone, watu8 & ur wife, Ablessed, Madame B, Heaven on Earth, mwallu, DEMBA, KOKUTONA, The secretary, Mr Rocky, Lady doctor, Erickb52, Chocs, Mwanyasi, Judgement, Paloma, sosoliso, Slave(naamini umeshapona) Mtoto halali na hela, THE BIG SHOW, Sizinga, MMAHE, mwungwana, farkhina, Mzee, kabanga, 24hrs, figganigga, gfsonwin, Ritz Filipo, PakaJimmy, Mzee wa Rula, Smile, Kaizer, ladyfurahia, Asprin, LiverpoolFC, Preta, scorpion girl, tinna cute, miss chagga, Ladymasa, amu Arabela, SHIEKA, mshana jr & ur wife angel, CHAMInglady, Passion Lady, Ruttashobolwa....

Ni furaha iliyoje kujua shansarie anashare birth date na mwanangu kipenzi Matesha......

Kuanzia leo shansaria ni mwanangu (Sitakutongoza tena mwanangu) Na kiwatengu ni mkwe wangu, fanya hima ukakatwe mkono sweta tafazali.

Habari hizi zimfikie mkwe mstaafu Fixed Point popote pale alipo.
 
Last edited by a moderator:
Ni furaha iliyoje kujua shansarie anashare birth date na mwanangu kipenzi Matesha......

Kuanzia leo shansaria ni mwanangu (Sitakutongoza tena mwanangu) Na kiwatengu ni mkwe wangu, fanya hima ukakatwe mkono sweta tafazali.

Habari hizi zimfikie mkwe mstaafu Fixed Point popote pale alipo.

Aisee! hii kitu imenifurahisha sana..

Asante sana!
naamini wife wangu shansarie atafurahi pia..
CC; Mamndenyi.
 
Last edited by a moderator:
Ni furaha iliyoje kujua shansarie anashare birth date na mwanangu kipenzi Matesha......

Kuanzia leo shansaria ni mwanangu (Sitakutongoza tena mwanangu) Na kiwatengu ni mkwe wangu, fanya hima ukakatwe mkono sweta tafazali.

Habari hizi zimfikie mkwe mstaafu Fixed Point popote pale alipo.

Aisee! hii kitu imenifurahisha sana..

Asante sana!
naamini wife wangu shansarie atafurahi pia..
CC; Mamndenyi.
 
Last edited by a moderator:
Ni furaha iliyoje kujua shansarie anashare birth date na mwanangu kipenzi Matesha......

Kuanzia leo shansaria ni mwanangu (Sitakutongoza tena mwanangu) Na kiwatengu ni mkwe wangu, fanya hima ukakatwe mkono sweta tafazali.

Habari hizi zimfikie mkwe mstaafu Fixed Point popote pale alipo.
habari zimefika mkwe....
nb: kulikoni kuniita mstaafu mke wa mwenzio?
 
Last edited by a moderator:
Heshima mbele kiwatengu

Mungu ambariki shemeji yetu, mpe nguvu na uvumilivu wa kupambana na changamoto za kila siku.

Jinsi umri unavyoongezeka na upendo kati yenu uwe hivyo hivyo.

NB;
Samahani kwa kuchelewa kufika.
 
Last edited by a moderator:
Sasa Mamndenyi hapa kaingiaje? Si heri ungemCC Heaven on Earth labda anaweza nifikiria kwenye matongozo yangu kama nlokuwa namtongoza sansharie wako??

Kwa taarifa yako Mamndenyi kishaingia kwenye payroll ya buku 7 kitaa cha Lumumba pale.

Nime mcc yeye kwa sababu maalumu! Mamndenyi anachanganywa na penzi la chama. amini usiamini ccm iko machoni mwake tu! ila rohoni(moyoni) kaiweka CDM. ni mjanja sana sana!
 
Last edited by a moderator:
Ni furaha iliyoje kujua shansarie anashare birth date na mwanangu kipenzi Matesha......

Kuanzia leo shansaria ni mwanangu (Sitakutongoza tena mwanangu) Na kiwatengu ni mkwe wangu, fanya hima ukakatwe mkono sweta tafazali.

Habari hizi zimfikie mkwe mstaafu Fixed Point popote pale alipo.

Asante kwa kujitambulisha baba mkwe
Afu uache kujishaua hujawah kuntongoza labda ndo nilikuwa kwenye list yako nn?
 
Last edited by a moderator:
Heshima mbele kiwatengu

Mungu ambariki shemeji yetu, mpe nguvu na uvumilivu wa kupambana na changamoto za kila siku.

Jinsi umri unavyoongezeka na upendo kati yenu uwe hivyo hivyo.

NB;
Samahani kwa kuchelewa kufika.

Pamoja sana mzee
 
Last edited by a moderator:
Asprin buku saba weka kando
Ni moyo wa uzalendo tu nilionao kutokana na
mausia niliyopewa na chama.

Sasa Mamndenyi hapa kaingiaje? Si heri ungemCC Heaven on Earth labda anaweza nifikiria kwenye matongozo yangu kama nlokuwa namtongoza sansharie wako??

Kwa taarifa yako Mamndenyi kishaingia kwenye payroll ya buku 7 kitaa cha Lumumba pale.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom