Happy Birthday Mke wangu Mpenzi...

Happy Birthday Mke wangu Mpenzi...

Nime mcc yeye kwa sababu maalumu! Mamndenyi anachanganywa na penzi la chama. amini usiamini ccm iko machoni mwake tu! ila rohoni(moyoni) kaiweka CDM. ni mjanja sana sana!
kiwatengu
penzi la Chama na Mamndenyi sio la kisiasa! Ni penzi la moyoni hata leo akisema anahamia CUF hilo halina utata kwenye maisha yetu; Chadema ya wanasiasa ilikufa hii ya wafanyibiashara Mamndeyi haiwezi!
 
Last edited by a moderator:
Nimepata pointi yako
chadema ya wanasiasa iliondoka na Zitto Zuberi Kabwe;
Kweli iliyobaki ni ya wafanyabishara.

kiwatengu
penzi la Chama na Mamndenyi sio la kisiasa! Ni penzi la moyoni hata leo akisema anahamia CUF hilo halina utata kwenye maisha yetu; Chadema ya wanasiasa ilikufa hii ya wafanyibiashara Mamndeyi haiwezi!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom