HAPPY Birthday Inkoskaz

HAPPY Birthday Inkoskaz

Babu shikamoo....thanks for ur wishes...namtafuta pacha MR cjui yupo kona ipi aje tukate keki na kuzima mishumaaa

Umesamehewa dhambi zako kijana.

Chondechonde msitiane mimba...... sijafikia umri wa kupata vitukuu.
 
Chetuntu hapo juu, muda si mrefu ntaanza kukuchukia.

Najua unalijua kosa lako....:sleepy::sleepy::sleepy:

Pole babu huyu ni mtoto wa babu wa gongo la mboto.
 

Attachments

  • beary-rosy-bouquet.jpg
    beary-rosy-bouquet.jpg
    4.2 KB · Views: 35
Umesamehewa dhambi zako kijana.

Chondechonde msitiane mimba...... sijafikia umri wa kupata vitukuu.
hahaha babu bwana....siku hzi kuna majacket unavaa basi ukicheza mechi inakuwa salama
 
Happy Birthday Dear....!!

Long live and Joyful life ahead!!
 
Umesamehewa dhambi zako kijana.

Chondechonde msitiane mimba...... sijafikia umri wa kupata vitukuu.

Huwezi kuwakwepa hao vitukuu babu, kwa Inkoskaz (toto tundu) one mistake game over!
 
Ni majaaliwa yake MUNGU kuifikia siku kama ya leo. Hongera sana Mkuu! Nakuombea Mungu akutangulie ktk kuifikia tena mwezi na tarehe kama ya leo. Hongera tena Mkuu!
 
Happy Birthday aisee hebu tuma mtu fasta aje achukue nepi zako.
 
Huwezi kuwakwepa hao vitukuu babu, kwa Inkoskaz (toto tundu) one mistake game over!
you made my day broda...kwenye kumi na nane nyavu lazima itikisike
 
Ni majaaliwa yake MUNGU kuifikia siku kama ya leo. Hongera sana Mkuu! Nakuombea Mungu akutangulie ktk kuifikia tena mwezi na tarehe kama ya leo. Hongera tena Mkuu!
nawe pia mkuu nakutakia maisha mrefu na wikiend njema kwa leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom