Happy Birthday ICHANA

Happy Birthday ICHANA

afu mzungu gani pesa kwanza jamani ngoja mokoyo aje lol

Mokoyo anajua huo mpango wako lakini au umepanga wewe tu?

usilete habari kama za mwanafulani aliyekuwa amamwita fulani wangu twende tukalale huku mwenzie anamuita dada.....utaumbuka...
 
Last edited by a moderator:
Happy belated birthday ICHANA...hope u enjoyed!
 
Last edited by a moderator:
waoooooooooooooooo!! nilikuwa wapi mie jamani

Happy belated birthday wifi yangu ichana
It is 1st June....

Special day for ICHANA

Its her birthday
ICHANA sina maneno mengi ya kuandika juu yako ila kukutakia heri ya siku ya kuzaliwa kwako. Mshukuru MUNGU wako maana ni kwa rehema na neema zake tu ndio maana leo unasherehekea siku hii muhimu kwako. Jaribu kufikiria ni ndugu na marafiki wangapi umewapoteza mpaka kufikia leo. Tafakari piga magoti mshukuru MUNGU na la muhimu jitahidi kutenda yaliyo mema zaidi na zaidi.
ICHANA washukuru sana wazazi wako kwa malezi waliyokupa hadi leo. Kumbuka kuna watoto wengi wanakosa malezi ya wazazi wao na kuishia kuharibikiwa maisha yao lakini wewe umepata rehema ya kukua mikononi mwa wazazi.
ICHANA sema pia asante kwa ndugu na marafiki zako kwa sapoti wanayokupa kila siku maishani, kumbuka hii ni dunia na kamwe huwezi kuishi peke yako hata uwe maskini au tajiri kiasi gani.

Mwisho ICHANA tunajifunza kupitia makosa yetu maishani, na wewe jifunze katika makosa yako ili sasa unapoanza mwaka mwingine upige hatua mpya ukiwa na matumaini na furaha kuu maishani mwako.

Kumbuka maneno yako haya "Nitaimba kwa sauti kuu ya kumshukuru MUNGU".

Jamani tumtakie heri ya kuzaliwa mwenzetu ICHANA

Happy-BirthDay-Present%5B1%5D.jpg


Copy to: sungura1980, miss neddy, Kaizer, DEMBA, christine ibrahimu, miss chagga, The Boss, Invisible, Mtambuzi, watu8, Miss Bantu, lara1, ladyfurahia, amu, Kunta Kinte, Dinazarde, Asprin, Mashaxizo, Rocky, Mndengereko, utafiti, uran, Mentor, Nyani Ngabu, evelyne Salt, Mamndenyi na wengineo wooote
 
waoooooooooooooooo!! nilikuwa wapi mie jamani

Happy belated birthday wifi yangu ichana

thanks bestisto wangu
Mokoyo kakuita uje ule keki wewe huonekani....
nafurahi kusikia kwako...next time tutakuja hme kukuchukua
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday ICHANA, Mungu akulinde siku zote za maisha yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom