Happy birthday Freeman Mbowe

Happy birthday Freeman Mbowe

Happ Birthday Chairman wangu,long live/life Kamanda na Mungu akuongoze
 
Our hero,Comrade,KUB
happy birthday my brother from another mother
.....
We share the same ideas,we believe in true demecracy and the growth of our nation.
........
In changes we believe..
 
Happy birthday to CHADEMA Chairman; Freeman Mbowe.

Huu uchaguzi wa mwenyekiti sijui ni coincidence(mgongano) wa/ni siku ya kuzaliwa au vipi!

By the way all the best wishes KAMANDA WA ANGA.
Napongezi za dhati kwa kuimarisha upinzani ndani ya ardhi ya Tanzania.
Mungu akubariki.

Upuuzi mtupu...
 
Happy birthday Comrade Mbowe. 53 years and still counting.
 
Kila la heri Mkuu Mbowe na Wanachama wa CHADEMA kwa ujumla wao. Naomba Mungu aongoze mambo yote yaemba kama ilivyopangwa.
 
Katika hali inayoashiria kuwa chadema ni ya familia ya mtu, mwenyekiti wa chama hicho amepanga siku ya mkutano mkuu wa chama siku ambayo yeye alizaliwa..haya ni matumizi mabaya ya madaraka kutumia matukio ya chama kwa maslahi binafsi
 
..haa haa hayazidi yale ya jk mtoto wake mwenyewe riz kuruhusiwa kugombea ubunge kupitia ccm. Mke wake kupigiwa saluti..
 
Kwa hiyo kama siku imepangwa ikaangukia tarehe ya kuzaliwa kwake ni matumizi mabaya ya madaraka. Mbona unakuwa na fikra hasi hivyo, ni kwa maslaji ya nani unaleta uzii huu? Hivi ukipuuzwa au kurushiwa madongo utamlaumu nani?

Tafakari na badilika!
 
Kwa hiyo kama siku imepangwa ikaangukia tarehe ya kuzaliwa kwake ni matumizi mabaya ya madaraka. Mbona unakuwa na fikra hasi hivyo, ni kwa maslaji ya nani unaleta uzii huu? Hivi ukipuuzwa au kurushiwa madongo utamlaumu nani?

Tafakari na badilika!

Ni sheeeedah! Ni Tabu!
 
Katika hali inayoashiria kuwa chadema ni ya familia ya mtu, mwenyekiti wa chama hicho amepanga siku ya mkutano mkuu wa chama siku ambayo yeye alizaliwa..haya ni matumizi mabaya ya madaraka kutumia matukio ya chama kwa maslahi binafsi

Dogo acha kuweweseka.
 
Happy birthday kamanda
..uko kwenye historia ya mabadiliko ya taifa la tanzania kwa vizazi vijavyo....
Live long
 
Name Calling

Mkuu Cookie anakula bia tubsaa hizi. Kuna mijitu milevi imeamua kufanya name calling makusudi lakini wanaachwa tu. Sasa huyu The big show ananiita mimi Yericko Nyerere. PainKiller na Cookie wanajua wazi mimi sio Yericko, hata mahali nilipo ni tofauti kabisa na alipo Yericko. Lakini wameamua kumwacha huyo mlevi ameniita jina sio langu zaidi ya mara tano. Na mbaya zaidi Yericko ni verified member. Mimi sio verified lakini natumia jina langu halisi.
 
Last edited by a moderator:
Katika hali inayoashiria kuwa chadema ni ya familia ya mtu, mwenyekiti wa chama hicho amepanga siku ya mkutano mkuu wa chama siku ambayo yeye alizaliwa..haya ni matumizi mabaya ya madaraka kutumia matukio ya chama kwa maslahi binafsi

Mawazo mufilisi
 
hbd mbowe.....kamanda ana nguruma sahvi namuona via itv lie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom