Happy Birthday Freeman Aikaeli Mbowe

Happy Birthday Freeman Aikaeli Mbowe

hongera kwa kutendea jina lako haki kamanda wa anga mwenye uzoefu wa kubadilishia gear angani bila kuleta ajali mungu akupe maisha marefu zaidi ya uliyoishi!
 
HBD kamanda mungu akupe umri wa maisha marefu akuongoze katika kila jambo lenye heri.
 
Usiseme Watanzania Mtanzania Mimi Sema Wewe Na Nafsi Yako,watanzania Tumegawanyika Sio Wote Wanataka Hayo Mabadiliko Yenu....

Umekunywa maji ya bendera gani wewe usietaka mabadiliko.? Simama hapo hapo ukipiga marktime.
 
HBD kamanda wa ukweli. Mungu akujaalie maisha marefu zaidi
 
Mungu akujarie miaka mingi zaidi,mabadiliko ni lazima,hiyo hapo kazi tu tukiifanya mishahara wataichelewesha kama walivyozoea au kutunyima!Happy birthday
 
Dah! sasa mbona umri na busara viko inversely propprtional??
 
Back
Top Bottom