PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,781
happy bday wote
wapi wewe?....mbona ya kwako hatuisikii....!.Ukome!
happy bday wote
Including me au? lol!!!!!
wapi wewe?....mbona ya kwako hatuisikii....!.Ukome!
Waoohh!dah!kweli mwaka huu umeniamulia,,nifanye nn unipende basi?me loves anyway
Happy Birthday NathJohn.MUNGU akufanikishe ufikie matamanio yako.
Happy Birthday my lovely friend FL1.Hongera sana kwa kufikisha umri ulionao sasa.MUNGU akutangulie na awe pamoja nawe katika maisha yako na afanikishe ndoto zako na malengo yako uliyojipangia.Akupe upendeleo aliowapa wanawaisrael wakati wantaoka Misri.
Nakuandalia pati ya kukupongeza lakini itafanyika jumamosi nyumbani kwangu.Pati hii itainclude Ladies tu.Kwahiyo wadada wote wa JF mtakaopenda kuungana nami katika kumpongeza rafiki yangu FL1 mnakaribishwa sana.Mnaweza mkaniPM for more information.
Ni kwa wadada tu!!!
I love You My Friend FL1.
RM, mbona umeweka msisitizo sana? kwani ni kitchen party? si birthday tu jamani.
Naomba mm nije kwa hisani ya wakaka wa Jf.
Eheee! Sasa hapo unaongea! Fl, mm ni dereva tax wako jmosi to Regia's residence.Sio kitchen party lakini napenda iwe hivyo.Ila kwakuwa umeomba.Ngoja nifanye mawasiliano na FL halafu nitakujulisha.
RM, mbona umeweka msisitizo sana? kwani ni kitchen party? si birthday tu jamani.
Naomba mm nije kwa hisani ya wakaka wa Jf.