afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
- Thread starter
- #61
Aisee Afroo nani alikudanganya sikupendi tena? We ni kajukuu kaziwanda kangu, hakuna anayeweza kupokonya nafasi yako.
Hebu njoo huku chumbani
haka mie chumbani siji tena
wewe mtume yule njiwa aniletee
habari kama unamatatizo kwani
naona siku hizi wafuata wajukuu wapya na mie umeniweka pembeni..
ukiwa na tatizo tu ndo wanitafuta..
haya babu ..
wanifanya mie ni :A S 20::A S 20:
na TF ndo hanitaki tena mie na shida tu..
mmmhh sijui na balaa gani