Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Asante mpnz kwa kukumbuka siku yako japo umechelewa km ulivyosema.nilizaliwa tar 30/01/1984 siku ya jumatatu saa 11 kamili alfajiri.namshukuru Mungu jana nimetimiza miaka 27 hvyo kuwa mbioni kuelekea uzeeni.asanteni nyote mlionitakia mema na baraka,nami nimefarijika sana.zaid ya yote nakushukuru tena AD kwa kukumbuka hili kwan hata firstman wngu hakukumbuka kabisa hvyo kunitia majonzi .hata mr president pia kasahau,sijui yuko wapi?
Aisee umezaliwa siku moja na last born wangu....kumbe we katoto namna hii? Mbona unayaweza makubwa kuliko umri wako?
Hebu uje huku chumbani nikupe busara zangu.