Don Mangi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,199
- 855
Happy belated Birthday Elizabeth Dominic!
Niambie kaka mkubwa, kumbe ishakua be-lated coz naona kama kapost saa sita, alikua kaipania.
happy birthday Elizabeth Dominic
Last edited by a moderator:
Happy belated Birthday Elizabeth Dominic!
Jamani nimefurahi sana na humbled kuanzishiwa thread. Nakushukuru sana Kaka Kaizer kwa kuchukua muda nakukumbuka siku yangu ya kuzaliwa. Na nawashukuruni marafiki zangu wote wana JF kwa salamu njema na maneno mazuri
Asante Mtambuzi kwa picha za kufurahisha, nashukuru sana anti AshaDii C6 kwa ahadi ya zawadi, my dear bro Nicas Mtei mwaJ Arushaone na my friend wa chuga dear one Erickb52 Preta fellow Aquarian....lol sijui dada yangu charminglady yuwapi
Yaani nawashukuru each and every one of you kwa kuifanya siku yangu iwe nzuri kwa mapendo sana.
![]()
Happy Birthday Elizabeth Dominic
Mungu akujaalie maisha marefu wewe na familia yako
wakati huu ukiwa umelala unono, nakutakia njozi njema...............
Mama Ngina naye anakusalimia na anakutakia Happy Birthday njema
Happy birthday Elizabeth Dominic ubarikiwe sana na kila jema na lenye kheri lisikuponyoke wangu.
Nakupenda!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
H.b.day dada
Happy birthday Elizabeth Dominic ubarikiwe sana na kila jema na lenye kheri lisikuponyoke wangu.
Nakupenda!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Happy birthday mrembo. Go beyond the sky, its no longer the limit