moodykabwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 625
- 602
HABARI
Naitwa moody kabwe
Siku- ya ijumaa tarehe 25/12/1988 Mama na Baba BAKARI KABWE walibarikiwa kumpata mtoto wa kiume. Na Wakamwita mtoto
huyu MOHAMEDY BAKARI RASHIDI KABWE
Na leo ile siku imejirudia tena IJUMAA ile ile Napenda kuwashukuru BIBI ZANGU wote kwakua nimekulia katika mikono yao
na wazaz/walezi wangu kwa kunitunza/kunilea na sasa nimekuwa Baba. Nawashukuru kwa kuniepusha na mambo mabaya, magonjwa na pia vishawishi. Pia
napenda
KUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU kwa kunilinda na leo natimiza miaka tena. 28 Na halafu napenda kuwapa HERI YA KUZALIWA wote waliozaliwa mwezi huu waliotimiza tayari miaka kama yangu
Nachukua nafasi hii kuwashukuru viongozi wangu wa CHADEMA wa jimbo la kinondoni kwa kunipa ujasiri wa hali ya kutosha kuweza kuwatumikia wananchi wa jimbo la kinondoni bila uonga wala vitisho
Na pia napenda kuwashukuru wabunge wote wa chadema wanaonisaidia mawazo ya kuendeleza harakati zangu bila kunibagua pindi ninapoomba ushauri kwao shukrani nyingi zaidi kwa mwenyekiti Taifa rafiki angu mh mbowe mungu akulinde na asante sana kwa ushirikiano wako kwangu
Shukurani zangu nyingine ziwafikie
YANGA WHTASAPP SUPPORTES MAKAO MAKUU na
wana GROUP WOTE WA CHANGES FOR ALL
Pamoja na CHADEMA IN BLOOD
NA CHADEMA TANZANIA
Bila kuwasahau Mashabiki wote wa YANGA AFRICA NA WANACHAMA WOTE popote pale walipo nchini Tanzania
Mmenitia nguvu sana bila ninyi isingewezekana.--NA AHSANTE SANA KWA MWAKA 2016 na IJUMAA NJEMA NA NASEMA NAWAPENDENI SANA
....AHSANTENI WOTE.
By moody kabwe HAPPY BIRTHDAY FOR KWANGU MIMI
Naitwa moody kabwe
Siku- ya ijumaa tarehe 25/12/1988 Mama na Baba BAKARI KABWE walibarikiwa kumpata mtoto wa kiume. Na Wakamwita mtoto
huyu MOHAMEDY BAKARI RASHIDI KABWE
Na leo ile siku imejirudia tena IJUMAA ile ile Napenda kuwashukuru BIBI ZANGU wote kwakua nimekulia katika mikono yao
na wazaz/walezi wangu kwa kunitunza/kunilea na sasa nimekuwa Baba. Nawashukuru kwa kuniepusha na mambo mabaya, magonjwa na pia vishawishi. Pia
napenda
KUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU kwa kunilinda na leo natimiza miaka tena. 28 Na halafu napenda kuwapa HERI YA KUZALIWA wote waliozaliwa mwezi huu waliotimiza tayari miaka kama yangu
Nachukua nafasi hii kuwashukuru viongozi wangu wa CHADEMA wa jimbo la kinondoni kwa kunipa ujasiri wa hali ya kutosha kuweza kuwatumikia wananchi wa jimbo la kinondoni bila uonga wala vitisho
Na pia napenda kuwashukuru wabunge wote wa chadema wanaonisaidia mawazo ya kuendeleza harakati zangu bila kunibagua pindi ninapoomba ushauri kwao shukrani nyingi zaidi kwa mwenyekiti Taifa rafiki angu mh mbowe mungu akulinde na asante sana kwa ushirikiano wako kwangu
Shukurani zangu nyingine ziwafikie
YANGA WHTASAPP SUPPORTES MAKAO MAKUU na
wana GROUP WOTE WA CHANGES FOR ALL
Pamoja na CHADEMA IN BLOOD
NA CHADEMA TANZANIA
Bila kuwasahau Mashabiki wote wa YANGA AFRICA NA WANACHAMA WOTE popote pale walipo nchini Tanzania
Mmenitia nguvu sana bila ninyi isingewezekana.--NA AHSANTE SANA KWA MWAKA 2016 na IJUMAA NJEMA NA NASEMA NAWAPENDENI SANA
By moody kabwe HAPPY BIRTHDAY FOR KWANGU MIMI