***Happy Birthday Elizabeth Dominic!!***

***Happy Birthday Elizabeth Dominic!!***

Kaizer

Platinum Member
Joined
Sep 16, 2008
Posts
25,330
Reaction score
17,856
************************************************************
Dear Elizabeth Dominic
Kwa heshima kubwa na na taadhima, naomba kwa niaba ya familia yangu, ya wana chit chat, wana MMU na wana JF kwa ujumla, kukuwish a very HAPPY BIRTHDAY ya sikukuu yako ya kuzaliwa

Ni siku Muhimu mno kwako na kwetu, hasa tunapoangalia tumetokea wapi na tunaenda wapi.

Kwa hiyo, mimi na my wife wangu AshaDii, sweetlo gfsonwin, msiri wangu mwaJ, shemeji Zion Daughter, cacico, badili tabia na yummy (wakeze hommie Asprin), na nikitambua uwepo wa walimu wangu snowhite na Madame B,

Na wazee wenzangu kina Mtambuzi (najua tupo wote kwen party), MziziMkavu na Chimbuvu, Dark City, ladies and gentlemen wa hapa cc: Preta, marejesho, Filipo, Lily Flower, Remmy, charminglady, Arabela, kokutana, Erickb52, stevoh (pole sana) Arushaone, IGWE, YNNAH, Fidel80, Teamo,

na wengineo woote tujumuike kumtakia heri mpendwa wetu Elizabeth Dominic Mungu akupe maisha marefu zaidi, na mafanikio tele, uishi kuona miaka mingine zaidi na zaidi huku ukimpendeza Mungu na Watu, Maadam hii makitu imeangukia kwen white party, basi tunaendelezea humo humo leo, kuparty tu!


**********************************************************
 
Beautiful-Happy-Birthday-Cake-Photos8.jpg


Happy Birthday Elizabeth Dominic
Mungu akujaalie maisha marefu wewe na familia yako

wakati huu ukiwa umelala unono, nakutakia njozi njema...............

Mama Ngina naye anakusalimia na anakutakia Happy Birthday njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom