tarehe 26 august 1953, mheshimiwa rais mtarajiwa alijaliwa kuliona jua. Naomba wapenzi, mashabiki na wote wanaoitakia nchi yetu neema, baraka na fanaka, tujumuike kwa pamoja kumtakia ndugu mh. Lowasa heri ya kuzaliwa.
Nb. Ifikapo saa sita kamili usiku, naomba makamanda wote tumimine salam zetu za kuzaliwa kupitia uzi huu.
Mods tafadhali, tunaomba kwa kumuheshimu mh. Uzi huu usitolewe.
Happy birthday mh. Lowasa.