Mheshimiwa Rais wetu mtarajiwa,
Mimi na familia yangu tunakutakia heri na nafaka katika kumbukumbu yako ya kuzaliwa. Mungu akupe maisha marefu sana yenye heri na baraka tele. Wewe ni jasiri na mwenye uchungu na nchi hii. Tuko pamoja na wewe. We love you Dr
Dr Slaa amani kwako, Mungu akapate kukubariki , uwe na amani kwakua hatuta kuangusha kama zawadi yetu ya siku yako ya kuzaliwa na zawadi kwetu wapenda haki, maadili na umakini.
Its good that you were Born in the first place! But i wish you an enjoyable great day! Dr Slaa ulizaliwa kwa malengo, ndio maana B/Day yako inakuja maalum kipindi hiki NYETI! Nami naungana na wengine kuhifadhi zawadi yako hadi 31/10/2010
Tunakutakia happy birthday njema si ajabu Mungu amechagua siku hii iliyotukuka kuwa ya ukombozi wa Watanzania. Kila heri 31.10.2010. All Tanzanians are behind you big man
Happy birthday, mr president dr w.slaa...mungu akuangazie akupe maisha marefu na yenye baraka tele...gifts zako ziko tatu, j3...kura yako, kura ya mbunge na kura ya diwani.
God bless you!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.