Happy birthdayTuendelee kuamini atarudi tu
brother, Mungu akawe upande wako popote ulipo Kaka angu, hata kama tone moja la Damu yako imemwagika basi ikamwagilie ukombozi wa fikra katika taifa hili dhalimu. Nakuombea Malaika wa Mungu wawe walinzi wako. Happy birthday ones again Brother
Nimesikitika watu kutomkimbuka Leo inaamana ndio tumeanza msahauHappy birthday kaka popote ulipo
IndeedToo Sad!