Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Jamani wacheni nimwite mungu na abaki kuwa mungu ..tar 2 august ndio siku yangu ya kwanza kumuona kisura wangu aliekuja kuwa mtarajiwa wangu na sasa ni mamadidy aka mamafaith,,tar 3 mamaaa didy mungu ilimpendeza kuitwa duniani najua kuna wengi walitwaliwa siku hiyo wakiwa wanzaliwa lakini kwa heshima na upendo wa mung juu yangu akaona kimwali kale kaendelee
kuishi kuja mpikia kumpenda na kumjali pdidy
kwa niaba ya pdidy & companies kwa kuwa uko mbali mamanjombe kwanza nakutakia
-uaminifu wa ndoa yetu mungu aendelee uitunze uko uliko kama tunavyotunzanaa tukiwa jiji la ...lukuvi kaondoka sijui nani anywa way
-mungu akuongezee uhai na kukupa maisha mema na ya furaha tuje kutunza wajukuu kama mama mkwe na babamkwe wanavyokula mema ya nchi na sie tuitwe babu na bibi
-mungu akupe rehema ya kumpenda yeye zaidi na kumheshimu na kufwata yale anayosema najua ukifwata neno la mungu akuna matatizo yanayotokea kwa hili mungu asikuache kabisa ..
-marafiki wabaya wawe ni laana mbele ya maisha yakao na macho yako
naamini na mengine mengi
--kwaniaba ya didy na jf members mungu awabariki kwa wale walio njian kupata wenza usiache maombi ndio nguzo kamili akuna aliemkamilifu ila ni kwaneema ya mungu na maombi yako wito usikubali kuishi kwenye ndoa za mavumiliano yaani wewe uwee wa kuvumilia kila siku no never kataa kabisa sisemi muachane
ujumbe
better is not g0od enough
best is yet to come
be blessed all
wishi
happy birthday my baby
kuishi kuja mpikia kumpenda na kumjali pdidy
kwa niaba ya pdidy & companies kwa kuwa uko mbali mamanjombe kwanza nakutakia
-uaminifu wa ndoa yetu mungu aendelee uitunze uko uliko kama tunavyotunzanaa tukiwa jiji la ...lukuvi kaondoka sijui nani anywa way
-mungu akuongezee uhai na kukupa maisha mema na ya furaha tuje kutunza wajukuu kama mama mkwe na babamkwe wanavyokula mema ya nchi na sie tuitwe babu na bibi
-mungu akupe rehema ya kumpenda yeye zaidi na kumheshimu na kufwata yale anayosema najua ukifwata neno la mungu akuna matatizo yanayotokea kwa hili mungu asikuache kabisa ..
-marafiki wabaya wawe ni laana mbele ya maisha yakao na macho yako
naamini na mengine mengi
--kwaniaba ya didy na jf members mungu awabariki kwa wale walio njian kupata wenza usiache maombi ndio nguzo kamili akuna aliemkamilifu ila ni kwaneema ya mungu na maombi yako wito usikubali kuishi kwenye ndoa za mavumiliano yaani wewe uwee wa kuvumilia kila siku no never kataa kabisa sisemi muachane
ujumbe
better is not g0od enough
best is yet to come
be blessed all
wishi
happy birthday my baby