Msamehe bure alikua anaendesha gari y taka huko usa sasa hpo utaona mukichwa hayuko sawa
Haki y mamaaa chukua hiyo noah ntakuekua shockup mpya zote 4.....mana kwa uzito wke plus mabebezzz anaowapakiza lazma limeisha😁😁😁
Mkuu usemalo n kweli ukimjibu ukweli anakimbilia kukutuhumu.......umri huo c haba ila jamaa ni mdananda anapenda sifa n kuabudiwa.hilo jina lake angetumia vizuri angekua mbali sana sio kumiliki kiblog n pagala kinyerezi,
Kila siku sifa mara naingiza laki 4 kwa saa ila maisha yke yaleyale hata kumalizia nyumba kashindwa
hahahaaa,mtoto wa waziri mkuu anaendesha gari la taka,lazima mzee malecela alimpa laana,anakusanya viporo,pampas,na kupeleka jalalani
Wewe una utani na akiki kubwa????
(Ingawa in reality alipaswa kujiita mwili mkubwa na sio akili kubwa)
Hahaaa huyo ni babu yangu 58yrz umri sawa n mv liemba.....hivi m2 mzima unakuja hpa kuropoka kuhusu ex wko,hivi huyo ex wko akisema ulikua huna nguvu z kiume utalalamika,mimi naona li mbululazzz katimiza 38yrz si 58 ni typing error tu
uwiiiiii le mutuz umri sawa na mv liembaHahaaa huyo ni babu yangu 58yrz umri sawa n mv liemba.....hivi m2 mzima unakuja hpa kuropoka kuhusu ex wko,hivi huyo ex wko akisema ulikua huna nguvu z kiume utalalamika,mimi naona li mbululazzz katimiza 38yrz si 58 ni typing error tu
Babu si ndio "mzaliwa wa kwanza???"
Sasa kama dada yake anagombea uraisi ni around 55 kama sikosei imagine umri wa babu...... sema tu mambo ya babu ni kama teenager!!!!
Babu si ndio "mzaliwa wa kwanza???"
Sasa kama dada yake anagombea uraisi ni around 55 kama sikosei imagine umri wa babu...... sema tu mambo ya babu ni kama teenager!!!!
Ukiwa fist mana utaanzisha NGO? Mie nitaomba umakamu ukurugenzi
I see
Ndio maana sijaona akimsupport dada yake......
Aibu yake.... yaani anacha kumsaport dada yake anasapoti mtu baki????
Sina uhakika kuhusu Ipyana...
Ila kwa Dr, babu ni mkubwa kuliko dr
Ukiwa fist mana utaanzisha NGO? Mie nitaomba umakamu ukurugenzi
I see
Ndio maana sijaona akimsupport dada yake......
Aibu yake.... yaani anacha kumsaport dada yake anasapoti mtu baki????
Sina uhakika kuhusu Ipyana...
Ila kwa Dr, babu ni mkubwa kuliko dr
kweli ni aibu kubwa,bora akalime zabibu kwenye mashamba ya baba yake aifungashe kitaalam,asambaze huko serena anakokaa kupiga pichaDr Mwele ni akili kubwa wala hata siku moja hawezi kuhitaji support ya boguz old man mwenye degree tatu halafu anakuwa mkurugenzi wa blog, mtaji smartphone, laptop, modem na digital camera.
Ningekuwa na dada kama Dr Mwele kwakweli ningemtumia kwa njia halali na kamwe kitu kama blog kwangu isingekuwa ndio ajira.
anaenda club at 58??? wazee wenzake wamekaa beach wanaangalia jazz ikipigwa yeye anakatika vigodoro na cheketua,tena aja miaka 58!!!! na jinsi alivyo ataweza kucheza cheketua
Le Mutuz nilishambana hapa akasema ananijua kakutana nami kwenye basement party DC.
I have never been to a DC basement party.
Hili ni baada ya kusema hivyo hivyo kwa Mzee Mbegu.
Old trick, ajaribu kubadili kidogo.
Nakumbuka vyema tena now days naona ni kama umempuuza tu maana miaka ile ilikuwa ukiamuwa kukomaa naye unambana angle zote mpaka anashindwa kupumuwa na kujifanya anakujuwa kumbe ni alinacha tu.
Ha haa cc Field MarshalWala uhitajiki kuwa karibu na Le Mutuz kumjuwa alivyo hewa, hana privacy ndio maana wanaomlipuwa wanamjuwa kiundani wakati hawajawahi hata kuonana physical na Le Mutuz.
Mimi nakuhakikishia miaka mitatu au minne iliyopita nilitumiwa na kwenye pm na member mmoja.bonge la scandle la jinsi ya mke wa Le Mutuz alivyopewa ajira kwa kupendelewa kule Marekani nadhani hapa targeted alikuwa ni Mzee Malecela, mimi kwa busara za kiutu uzima nikapotezea sikusanuwa na badly ile scandle nzima nilitumiwa kwenye Id yangu ya zamani amnayo imekiwa merged na hii hivyo zile pm sina access nazo.
Le Mutuz na Neema walikuwa ni Member wazuri wa JF na mabingwa wa kumtukana Kikwete kwa fake ID ndio maana leo hii Le Mutuz hata wewe ukimgonga dongo la uhakika ni lazima atakuita wewe ni X-wake au ndugu yake na Neema.
Eeeeh don tell me Kim nana huyu huyo mchumba wa mwanangu
kweli damu nzito kuliko supu, ndo maana kumbe wanafanana fanana ha ha ha :A S wink:
Kumbe ni babu wa BADILI TABIA af anamsingizia Kim nana
BT msalimie yo gran papa me love him you know, na picha yake nnayoipendaga sana ni ile anajojoa kwenye mnazi